Davido awashukuru waandaaji wa Grammy

Davido awashukuru waandaaji wa Grammy

Mkali wa Afrobeat kutoka nchini #Nigeria, #Davido ametoa shukurani kwa waandaaji wa Tuzo za #Grammy baada ya jina lake kuwa miongoni mwa wateule wa tuzo hizo.

Kupitia mahojiano yake na #TMZ baada ya kuulizwa kuhusu kuchaguliwa kuwania tuzo hizo kwanza alishukuru kuwa nominated pili aliishukuru #Academic ya #Grammy kwa kuutambua muziki wa #Afrobeat.

Hii ni mara ya kwanza kwa #Davido kuchaguliwa kuwania Tuzo hizo za Grammy, ambapo yuko nominated katika vipengele vitatu.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post