15
Kweli Singeli italeta Grammy Bongo
Tazama mwanamuziki wa Singeli, Baba Kash akiwarusha mashabiki katika viwanja vya Ngome Kongwe, Stone Town kisiwani Unguja.Je kwa vibe hili la mashabiki kutoka mataifa mbalimba...
08
Waafrika Walioshinda Grammy Kupitia Kazi Zao
Peter Akaro Ni hivi karibuni zimetolewa tuzo za 67 za Grammy huko Marekani na kumshuhudia msanii wa Nigeria, Tems akishinda kipengele cha wasanii wa Afrika akiwa ni wa pili ku...
07
Kwanini Tupac Hajawahi Kushinda Grammy
Marehemu Tupac Shakur ni moja kati ya wasanii maarufu wa hip-hop duniani waliofanya makubwa katika tasnia ya muziki. Lakini licha ya umaarufu wake na mafanikio kedekede msanii...
05
Wizkid, Civilian Wampa Heshima Ya Grammy Bob Marley
Mkali wa Afrobeat Wizkid ni miongoni mwa wasanii walioingai kwenye historia ya marehemu mwanamuziki wa reggae Bob Marley baada ya albam ya msanii huyo aliyefariki mwaka 1981 k...
03
Ushindi wa Tems Grammy, Davido ataacha muziki
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ameibuka mshindi wa Grammy 2025 katika kipengele cha Best African Music Perfomance.Ushindi huo ambao ameupata usiku wa kuamkia leo Februari 3, 2025...
02
Davido atangaza kuacha muziki endapo hatoshinda Grammy 2025
Staa wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria Davido ameonesha imani yake ya kushinda tuzo ya Grammy usiku wa leo"Kama sitoshinda Grammy mwaka huu ninafikiria kuacha muziki, nimew...
02
Tuzo za Grammy kugawiwa leo, fahamu haya
Leo Februari 2, 2025 zinatarajiwa kugawiwa tuzo za Grammy ambazo zitakuwa za 67 kufanyika tangu kuanzishwa kwake Mei 4, 1959.1. Tuzo za Grammy ambazo zinaangazia wasanii walio...
01
Bifu La P Square Lawakosesha Mchongo Wa Kutumbuiza Grammy
Bifu la wanamuziki kutoka nchini Nigeria waliowahi kutamba na ngoma kama ‘Testimony’, ‘Do Me’, ‘Forever’ na nyinginezo Peter na Paul maaruf...
29
Bruno Mars Na Rekodi Zake Spotify
Mwanamuziki na produza kutoka Marekani, Bruno Mars ameweka historia kuwa msanii wa kwanza kufikisha wasikilizaji milioni 150 kila mwezi kupitia mtandao wa kuuza na kusikiliza ...
14
Grammy Yahairishwa Kufuatia Na Janga La Moto
Kampuni inayoongoza kwa usambazaji wa biashara ya muziki duniani 'Universal Music Group' imetangaza kuahirisha baadhi ya matukio yaliyopangwa kufanyika usiku wa tuzo za Grammy...
06
Bien akoshwa na Wivu ya Jay Combat
Mwanamuziki kutoka Kenya, Bien Baraza anayetamba na wimbo wa ‘Extra Pressure’ aliyoshirikishwa na Bensoul amekoshwa na singeli ya ‘Wivu’ inayotamba kat...
05
Marehemu MJ alivyotimiza ahadi ya rafiki yake
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
26
Snoop Dogg atuma salamu Grammy
Mwanamuziki wa Marekani Snoop Dogg ametuma salamu kwa watoaji wa tuzo za Grammy, hii ni baada ya kushare picha za ma-rapa sita nchini humo ambao wamefanya vizuri lakini hawaja...
23
Harmonize: Huwezi kushinda Grammy kwa kusalimia watu
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Harmonize amerusha dongo kwa msanii mwenzake Diamond baada ya kushindwa kuchaguliwa kuwania tuzo za muziki Marekani Grammy kwa kudai kuwa huw...

Latest Post