05
Wizkid, Civilian Wampa Heshima Ya Grammy Bob Marley
Mkali wa Afrobeat Wizkid ni miongoni mwa wasanii walioingai kwenye historia ya marehemu mwanamuziki wa reggae Bob Marley baada ya albam ya msanii huyo aliyefariki mwaka 1981 k...
03
Ushindi wa Tems Grammy, Davido ataacha muziki
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ameibuka mshindi wa Grammy 2025 katika kipengele cha Best African Music Perfomance.Ushindi huo ambao ameupata usiku wa kuamkia leo Februari 3, 2025...
02
Davido atangaza kuacha muziki endapo hatoshinda Grammy 2025
Staa wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria Davido ameonesha imani yake ya kushinda tuzo ya Grammy usiku wa leo"Kama sitoshinda Grammy mwaka huu ninafikiria kuacha muziki, nimew...
02
Tuzo za Grammy kugawiwa leo, fahamu haya
Leo Februari 2, 2025 zinatarajiwa kugawiwa tuzo za Grammy ambazo zitakuwa za 67 kufanyika tangu kuanzishwa kwake Mei 4, 1959.1. Tuzo za Grammy ambazo zinaangazia wasanii walio...
01
Bifu La P Square Lawakosesha Mchongo Wa Kutumbuiza Grammy
Bifu la wanamuziki kutoka nchini Nigeria waliowahi kutamba na ngoma kama ‘Testimony’, ‘Do Me’, ‘Forever’ na nyinginezo Peter na Paul maaruf...
29
Bruno Mars Na Rekodi Zake Spotify
Mwanamuziki na produza kutoka Marekani, Bruno Mars ameweka historia kuwa msanii wa kwanza kufikisha wasikilizaji milioni 150 kila mwezi kupitia mtandao wa kuuza na kusikiliza ...
14
Grammy Yahairishwa Kufuatia Na Janga La Moto
Kampuni inayoongoza kwa usambazaji wa biashara ya muziki duniani 'Universal Music Group' imetangaza kuahirisha baadhi ya matukio yaliyopangwa kufanyika usiku wa tuzo za Grammy...
06
Bien akoshwa na Wivu ya Jay Combat
Mwanamuziki kutoka Kenya, Bien Baraza anayetamba na wimbo wa ‘Extra Pressure’ aliyoshirikishwa na Bensoul amekoshwa na singeli ya ‘Wivu’ inayotamba kat...
05
Marehemu MJ alivyotimiza ahadi ya rafiki yake
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
26
Snoop Dogg atuma salamu Grammy
Mwanamuziki wa Marekani Snoop Dogg ametuma salamu kwa watoaji wa tuzo za Grammy, hii ni baada ya kushare picha za ma-rapa sita nchini humo ambao wamefanya vizuri lakini hawaja...
23
Harmonize: Huwezi kushinda Grammy kwa kusalimia watu
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Harmonize amerusha dongo kwa msanii mwenzake Diamond baada ya kushindwa kuchaguliwa kuwania tuzo za muziki Marekani Grammy kwa kudai kuwa huw...
20
Diamond anyoosha mikono juu kutochaguliwa Grammy
Baada ya mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Diamond kutochaguliwa kuwania tuzo za Grammy, hatimaye msanii huyo amefunguka kwa mara ya kwanza akieleza kuwa atarudia tena huku ak...
14
Bila vigezo hivi Grammy hutoboi
Baada ya kuwepo kwa minong’ono mingi katika mitandao ya kijamii kuhusiana na tuzo za muziki nchini Marekani Grammy kuwapendelea na kuwanyonya baadhi ya wasanii, sasa Mwa...
14
Mtu huyu ameshinda Grammy nyingi lakini hajawahi kuimba
Quincy Jones hajawahi kuimba kwenye maisha yake lakini kawazidi wasanii wengi maarufu kwenye orodha ya Grammy kama vile Rihanna, Taylor Swift, Michael Jackson, na Lady Gaga. W...

Latest Post