14
Ronaldo kupunguziwa majukumu Euro 2024
Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Wes Brown amesema staa wa Al Nassr na Ureno ajiandae kwa majukumu tofauti na yale aliyozoea katika kikosi cha ‘timu’ ya ta...
05
Ronaldo ashinda tuzo mfungaji bora 2023
Nyota wa ‘klabu’ ya Al Nassr FC kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameibuka kidedea kwa kushinda Tuzo ya Maradona kutoka Globe Soccer kama mfungaji bora kwa mw...
19
De Gea aikataa ofa ya Al Nassr
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, David De Gea amepiga chini ofa ya mshahara wa pauni laki tano sawa na tsh 1.5 bilioni kwa wiki kutoka katika &l...
06
Bruno mtu na nusu saudi arabia
Inadaiwa kuwa nahodha wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #BrunoFernandes, ni kivutio cha ‘klabu’ mbalimbali kutoka nchini Saudi Arabia, na inaelezwa kuwa...
21
Mtoto wa CR7 kukipiga Al Nassr
Mtoto wa mchezaji kutoka ‘klabu’ ya Al Nassr ya Saudi Arabia, CR7, Cristiano Jr amejiunga na ‘timu’ ya vijana chini ya umri wa miaka 15, katika ‘...
14
CR7 kuchapwa viboko 99
Nguli wa ‘soka’ kutoka nchini Portugal Cristiano Ronaldo amejikuta katika janga ambalo hakulitegemea baada ya vyombo vya habari nchini Iran kuripoti kuwa mchezaji ...
06
Anayedai kubakwa na CR7 aibuka tena mahakamani
Mwalimu na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kathryn Mayorga, aliyedai kubakwa na nguli wa ‘soka’ Cristiano Ronaldo amerudisha kesi hiyo tena mahakamani kwa leng...
22
Ronaldo ndani ya kanzu
Mchezaji maarufu dunian Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa ni mchezaji wa klabu ya Al Nassr kutoka nchini Saudi Arabia bado anaendelea kukonga nyoyo za mashabiki zake nchini hu...
19
Cr7 apokelewa vizuri Iran, Mashabiki wakimbiza gari
Tazama mashabiki kutoka nchini Iran walivyo kimbiza gari alilopanda nyota wa Al Nassr Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake huku ‘Klabu’ hiyo ikilazimika kusitish...
07
Cr 7 hayupo kwenye ‘list’ ya tuzo za Ballon d’Or
Baada ya mkeka wa ‘listi’ ya wanaowania tuzo ya Ballon d’or kuwekwa wazi wadau mbalimbali wa mpira wa miguu wameshangazwa na mchezaji kutoka ‘timu&rsqu...
07
Ronaldo akumbukwa na timu yake ya zamani
Ikiwa imetimia miaka 20 tangu aondoke mchezaji Cristiano Ronaldo katika ‘klabu’ ya Ureno  Sporting CP, imempa heshima mchezaji huyo kwa kuzindua ‘jezi&r...
02
Mane uso kwa uso na Ronaldo
Baada ya kuzuka tetesi za muda mrefu kuhusiana na mshambuliaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Senegal Sadio Mane, hatimaye usiku wa kuamikia leo ametambulishwa rasmi  ...
12
Klabu ya Al Nassr yafungiwa kusajili
Klabu maarufu kutoka nchini Saud Arabia, Al-Nassr anayocheza mwamba Cristiano Ronaldo imepigwa marufuku kusajili wachezaji wapya baada ya kushindwa kulipa stahiki za malipo ya...
03
Nike wadhamini wa jezi Al Nassr
Klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia imetangaza rasmi kuwa Kampuni ya Nike ndio wadhamini wao wa Jezi kwa Msimu unaotarajia kuanza wa 2023/24.Kampuni ya Nike itabuni vifaa vya Mi...

Latest Post