04
Rose Muhando, Yameondoka Magari Ila Sauti Ni Ile Ile
Rose Muhando huyu wa sasa siyo yule. Lakini thamani ya sauti yake ni ile ile. Lakini siyo yule tena. Ubora wa kutangaza neno kwa nyimbo katika mimbari kwa sasa haupo. Mama wa ...
04
Washiriki Miss Tanzania, Wataka Uwakala Wa Vipodozi
Washiriki wa mashindano ya Miss Tanzania wameihimiza Serikali kuimarisha zaidi mazingira ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya mianya ya bi...
04
Drake Awajia Juu Waliyomkataa Wakati Wa Bifu Lake Na Lamar
Rapa kutoka Marekani Drake amewachana watu wake wa karibu waliyomkataa wakati wa bifu lake na msanii mwenzake Kendrick Lamar.Drake amewatolea uvivu watu hao kupitia wimbo aliy...
04
Aliyemvamia Burna Boy Stejini Afunguka
Shabiki aliyemvamia mkali wa Afrobeat Nigeria Burna Boy stejini na kupelekea msanii huyo kususia show na kushuka jukwaani amefunguka kuwa alipanda katika steji hiyo kwa lengo ...
04
Jol Master Mchekeshaji Aliyejiwekea Viwango Madhubuti 2024
Tasnia ya uchekeshaji imeendelea kuwa miongoni mwa zinazofanya vizuri kwenye kiwanda cha burudani Bongo kutokana na kubeba majina ya vijana wengi wanaojihusisha na kazi hiyo i...
04
Whatsapp Kuacha Kufanya Kazi Kwenye Simu Hizi!
Mtandao unaokubalika zaidi duniani kote wa WhatsApp umetangaza kuacha kufanya kazi katika simu za zamani za Android ambazo hazipati Updates za mfumo mpya unaofanyika kila mwak...
04
Hili Ndio Gauni Lililozua Mjadala Mitandaoni
Moja ya nguo ambayo ilizua mjadala nchini Marekni ni gauni hiyo unayoiona kwenye video ambapo watu mbalimbali walikuwa wakibishana kuhusiana na rangi halisi ya gauni hilo.Hata...
04
Mtayarishaji Wa Katuni Ya Thomas & Friends, Afariki Dunia
Britt Allcroft, mtayarishaji wa katuni ya Thomas & Friends, kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na mtayarishaji...
04
Squid Game Msimu Wa 3 Kutoka June 2025
Baada ya filamu ya Squid Game Msimu wa 2 kufanya vizuri na kupata rekodi za kutosha, hatimaye wasambazaji wa filamu hiyo Netflix wametangaza tarehe rasmi ya kuachia filamu hiy...
04
Nicki Minaj Na Tuhuma Za Kumpiga Meneja Wake
Mwanamuziki kutoka Marekani, Nicki Minaj ameripotiwa kukabiliwa na kesi iliyofunguliwa na meneja wake wa zamani aitwaye Brandon Garrett ambaye amedai kuwa Minaj alimpiga wakat...
03
Utafiti: Wanaotembea Haraka Hawana Furaha
Kwa mujibu wa utafiti uliyochapishwa katika tovuti ya ‘Research Gate’ umebaini kuwa watu wanaotembea haraka wanaviwango vya chini vya furaha.Hata hivyo kulingana n...
03
Makabila Ajutia Kumpa Talaka Zaiylissa
Mwanamuziki wa Singeli hapa nchini, Dulla Makabila ameweka wazi kuwa anajutia kumpa talaka aliyekuwa mke wake, Zaiylissa.Makabila amefunguka hayo leo Januari 3, 2025 kwenye ma...
03
Sababu Tom Holland Kutoongozana Na Mpenzi Wake
Mwigizaji maarufu ambaye amefanya vizuri kupitia filamu ya Spider Man, Tom Holland amefunguka sababu ya kutoongozana na mpenzi wake Zendaya kwenye red carpets wakati wa uzindu...
03
Ili Uoe Unatakiwa Ukate Mikono Na Umpe Mke Kama Mahari
Kama unajidanganya kuwa umeshawahi kuona kila kitu kwenye dunia hii basi nakujuza kuwa bado kunavitu haujawahi kuviona kabisa. Kibongo bongo baadhi ya vijana wanagoma kuoa huk...

Latest Post