Rose Muhando huyu wa sasa siyo yule. Lakini thamani ya sauti yake ni ile ile. Lakini siyo yule tena. Ubora wa kutangaza neno kwa nyimbo katika mimbari kwa sasa haupo. Mama wa ...
Washiriki wa mashindano ya Miss Tanzania wameihimiza Serikali kuimarisha zaidi mazingira ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya mianya ya bi...
Rapa kutoka Marekani Drake amewachana watu wake wa karibu waliyomkataa wakati wa bifu lake na msanii mwenzake Kendrick Lamar.Drake amewatolea uvivu watu hao kupitia wimbo aliy...
Shabiki aliyemvamia mkali wa Afrobeat Nigeria Burna Boy stejini na kupelekea msanii huyo kususia show na kushuka jukwaani amefunguka kuwa alipanda katika steji hiyo kwa lengo ...
Tasnia ya uchekeshaji imeendelea kuwa miongoni mwa zinazofanya vizuri kwenye kiwanda cha burudani Bongo kutokana na kubeba majina ya vijana wengi wanaojihusisha na kazi hiyo i...
Mtandao unaokubalika zaidi duniani kote wa WhatsApp umetangaza kuacha kufanya kazi katika simu za zamani za Android ambazo hazipati Updates za mfumo mpya unaofanyika kila mwak...
Moja ya nguo ambayo ilizua mjadala nchini Marekni ni gauni hiyo unayoiona kwenye video ambapo watu mbalimbali walikuwa wakibishana kuhusiana na rangi halisi ya gauni hilo.Hata...
Britt Allcroft, mtayarishaji wa katuni ya Thomas & Friends, kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na mtayarishaji...
Baada ya filamu ya Squid Game Msimu wa 2 kufanya vizuri na kupata rekodi za kutosha, hatimaye wasambazaji wa filamu hiyo Netflix wametangaza tarehe rasmi ya kuachia filamu hiy...
Mwanamuziki kutoka Marekani, Nicki Minaj ameripotiwa kukabiliwa na kesi iliyofunguliwa na meneja wake wa zamani aitwaye Brandon Garrett ambaye amedai kuwa Minaj alimpiga wakat...
Kwa mujibu wa utafiti uliyochapishwa katika tovuti ya ‘Research Gate’ umebaini kuwa watu wanaotembea haraka wanaviwango vya chini vya furaha.Hata hivyo kulingana n...
Mwanamuziki wa Singeli hapa nchini, Dulla Makabila ameweka wazi kuwa anajutia kumpa talaka aliyekuwa mke wake, Zaiylissa.Makabila amefunguka hayo leo Januari 3, 2025 kwenye ma...
Mwigizaji maarufu ambaye amefanya vizuri kupitia filamu ya Spider Man, Tom Holland amefunguka sababu ya kutoongozana na mpenzi wake Zendaya kwenye red carpets wakati wa uzindu...
Kama unajidanganya kuwa umeshawahi kuona kila kitu kwenye dunia hii basi nakujuza kuwa bado kunavitu haujawahi kuviona kabisa. Kibongo bongo baadhi ya vijana wanagoma kuoa huk...