Pastor Tony Kapola ahaidi kumsaidia matibabu, na kumtafutia nyumba mwanamuziki chipukizi wa Arusha aitwaye Hashi Papi.Ahadi hizo zimetolewa baada ya kijana huyo kutumbuiza usi...
Awali lilipotajwa jina G Nako, wengi kwenye vichwa vyao zilisikika ngoza za hip-hop, lakini kwa sasa imekuwa tofauti kwani msanii huyu ameendelea kuonesha uwezo wake wa kutamb...
Visa na mikasa ni sehemu ya maisha ya binadamu bila kujali afanya shughuli gani. Kawaida visa hivyo na matukio huacha kumbukumbu katika jamii. Ikiwa mwaka 2024 unaelekea kuish...
Ni miongoni mwa waimbaji wachache wa kike walioanza kuvuma mwanzoni mwa miaka ya 2000, uandishi na sauti yake ya kuvutia vilimfanya kujizolea mashabiki na hata wasanii wenzake...
Mwanamke anayemtuhumu nyota wa muziki Jay-Z, kumfanyia unyanyasaji wa kingono akiwa na miaka 13, mwaka 2000, ameendelea kufichwa utambulisho wake na mahakama.Analisa Torres am...
Marcus Abba anashtumiwa na baba yake mkubwa, Douglas Mayanja 'Weasel' ambaye pia ni mwanamuziki kwa kumkosoa baba yake mzazi, Jose Chameleone kutokana na mtindo wake wa maisha...
Hatimaye filamu maarufu ya Korea Kusini iitwayo Squid Game msimu wa pili inaachiwa rasmi leo Desemba 26, 2024.Msimu huu mpya wa Squid Game unatarajiwa kumuonesha mshindi wa aw...
Moja ya filamu ambayo katika msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka huchuka nafasi kubwa katika maisha ya watu ni ‘Home Alone’.Ufuatiliwaji wa filamu hiyo kila mwaka ...
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
Mwigizaji wa Hong Kong Jackie Chan ametangaza nia ya kuchangia utajiri wake wote, unaokadiriwa kufikia dola 400 milioni 'Sh 966 bilioni', kama msaada kwa watu wenye uhitaji.Mw...
Nyota wa muziki Uganda Joseph Mayanja 'Jose Chameleone' ambaye kwa sasa anasumbuliwa na maradhi ya kongosho, jana Desemba 23, 2024, alitolewa kwenye hospitali ya Nakasero jiji...
2024 ni mwaka ambao zimeachiwa albamu nyingi kutoka kwa wasanii wa Hip-hop nchini ikiwemo albamu ya Mbuzi kutoka kwa Young Lunya ambayo ilitoka rasmi June 28, 2024 ikiwa imesh...
Msanii wa WCB D Voice ametoa angalizo kwa wasanii wa singeli kutotoa nyimbo Desemba 31,2024 kwani watakula hasara.“Wale Wasanii wa Singeli mnaosubiria mtoa nyimbo tarehe...
Kwa zaidi ya miaka 10 Darassa amefanya muziki tofauti kabisa na rapa wenzake, uwezo wake wa kuchanganya vionjo na utunzi wa aina yake umefanya nyimbo zake kupendwa na watu wen...