Mwigizaji wa Hollywood Denzel Washington amebatizwa rasmi Desemba 21, 2024 katika Kanisa la Kelly Temple of God in Christ lililopo kitongoji cha Harlem jijini New York, Mareka...
Usiku wa kuamkia leo Desemba 23,2024 imefanyika sherehe ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya msanii na mfanyabiashara Shilole ambaye aliambatanisha sherehe hiyo pamoja na kufur...
Jumamosi ya jana Desemba 21, 2024 wasanii Diamond Platnumz na Nandy walipata show ya kutumbuiza kwenye harusi nchini Kenya, performance ambayo inaelezwa kuwa ya muda mfupi lak...
Ni ukweli usiopingika Yammi ambaye ni first born wa lebo ya The African Princess ya kwake Nandy ni mmoja kati ya wasanii wa kike Bongo wanaofanya vizuri tangu alipotambulishwa...
Fashion ni sehemu muhimu ya maisha ya kisasa, inayoonyesha si tu mitindo, bali pia hadhi, utu, na utu wa mtu. Uvaaji unaweza kuboresha au kushusha sifa ya mtu katika jamii. La...
Kuishi kwingi kuona mengi, ndivyo walivyosema wahenga. Msemo huo unaendana na mila na desturi za nchini Papua New Guinea, ambapo moja ya desturi zinazoshangaza ni ile ya kabil...
Hatimaye mwanamuziki Zuchu ameachia albamu yake ya kwanza tangu ametoka kimuziki miaka minne iliyopita kufuatia kusainiwa WCB Wasafi, akiwa ni msanii wa saba baada ya Harmoniz...
Tunaweza kusema kila ifikapo Desemba, shamrashamra huwa nyingi kutokana na sikukuu ya Krismasi ambayo hufanyika duniani kote kila ifikapo tarehe 25 mwezi huo.Upekee wa mwezi h...
Rio de Janeiro jaji kutokea nchini Brazil, ameamuru kufutwa kwa wimbo wa 'Million Years Ago' wa mwimbaji wa Uingereza Adele kutokana na madai ya wizi wa kazi hiyo kutoka kwa m...
Wasanii Burna Boy na Chloe Bailey wameingia kwenye tetesi za kimahusiano kufuatia kuonekana kwao karibu hivi karibuni. Tetesi hizo zilianza baada ya Chloe kutua Lagos, Jumapil...
Mwigizaji Julias Charles anayefanya vizuri kwenye tamthilia ya Huba, amesema kutokana na urefu alionao anakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kwenye vyombo vya usafiri.Ju...
Msanii wa filamu na mfanyabiashara Tausi Mdegela anasema kutokana na kimo chake kifupi, kuna baadhi ya watu katika jamii na mitandao wanaona hastahili kufanya baadhi ya vitu.H...
Mwaka 2024 umekuwa mgumu kwa kampuni ya Sony Pictures, hasa katika mauzo ya filamu zake tatu ikiwa ni pamoja na Kraven the Hunter, Venom: The Last Dance, na Madame Web, baada ...