02
Kocha wa Mamelodi achukia kuingiliwa majukumu yake
Kocha wa Mamelodi Sundowns F.C., Rulani Mokwena achukizwa kuingiliwa kwenye majukumu yake baada ya mkurugenzi wa klabu hiyo #FlemmingBerg kuwaondoa wachezaji wanne ambao bado ...
02
Baba Burna Boy aweka wazi anavyojivunia mwanaye
Baba mzazi wa mwanamuziki wa Nigeria Burna Boy, Samuel Ogulu ameweka wazi jinsi anavyovutiwa na mafanikio ya kijana wake, hii ni baada ya mwanaye kuupiga mwingi katika onesho ...
02
Diddy akifurahia maisha Wyoming
Wakati baadhi ya wadau wakisubiria mkali wa Hip-hop Diddy akamatwe kufuatia na shutuma zinazomkabili za unyanyasaji wa kingono, sasa msanii huyo ameonekana akiendelea kufurahi...
02
Baba wa Mohbad: Waliozaa na mwanangu wajitokeze
Baba mzazi wa marehemu mwanamuziki Mohbad, Joseph Aloba ametoa wito kwa wanawake ambao waliwahi kuzaa na Mohbad wajitokeze. Aloba ameyasema hayo kupitia video aliyoichapisha k...
02
50 Cent amcheka Rick Ross baada ya kushambuliwa Canada
Mkali wa Hip-hop Marekani 50 Cent, aonekana kufurahishwa na video inayosambaa mitandaoni ikimuonesha ‘rapa’ Rick Ross akishambuliwa nchini Canada. Kupitia ukurasa ...
02
Bet yamuomba radhi Usher
Waandaaji wa Tuzo za BET wamemuomba radhi mkali wa R&B Usher baada ya hotuba yake kutosikika kwa mashabiki walioko majumbani. BETiliomba radhi kwa mshindi huyo mara nane w...
01
Savanna: Familia yangu iligoma kunihudumia kisa mitandao
Na Aisha Charles Katika kutafuta njia ya kupambania ndoto zako ukiwa chini ya uangalizi wa wazazi hasa ukiwa unawategemea kwa kila kitu lazima kutakuwa na mashaka, mzazi au ml...
01
Man United mbioni kumtangaza mkurugenzi mpya
Klabu ya #ManchesterUnited inajiandaa kusaini nyaraka kwa ajili ya kumtangaza Dan Ashworth kama Mkurugenzi wa Michezo kutoka klabu ya Newcastle United baada ya vilabu hivyo ku...
01
Shilole: Ninafanya makusudi kuongea kingereza
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Shilole amesema kukosea kwake kuzungumza Kiingereza huwa anafanya makusudi ili watu wacheke. Shilole anayejishughulisha pia na bias...
01
Tyla, Usher wateka BET 2024
Peter Akaro Usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Peacock huko Los Angeles, Calfornia nchini Marekani kumetolewa tuzo za BET 2024 ambapo Usher Raymond IV na Tyla ndio mastaa w...
01
Tolani adai kutishiwa maisha na mashabiki wa Wizkid
Mwingizaji na nyota wa Big Brother Naija, kutoka nchini Nigeria, Tolani Baj amedai kutishiwa maisha na mashabiki wa #Wizkid. Tolani ameyasema hayo katika kipindi cha ‘Ba...
30
Shabiki azua kizaa zaa, Ujerumani ikienda robo finali
Baada ya mchezo wa hatua ya 16 bora wa michuano ya Euro kati ya wenyeji timu Ujerumani dhidi ya Denmark kumalizika, polisi waliokuwa wanalinda uwanja walimshusha shabiki mmoja...
30
Usher amtaka mwanawe aingie kwenye muziki
Mwanamuziki wa Marekani, #UsherRaymond amemtaka mwanawe wa kiume aitwaye Naviyd aingie kwenye muziki mapema na kujisimamia mwenyewe akiwa na umri wa miaka 15. Inaelezwa kuwa U...
30
Camila atamani Drake na Kendrick Lamar wamalize ugomvi
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #CamilaCabello ametamani #Drake na #KendrickLamar wamalize bifu lao ambapo amedai kuwa watu wamekuwa wakimsema vibaya Drake.Camila ameyasem...

Latest Post