Baada ya kuburuzana mahakamani kwa takribani miaka nane kufuatia na madai ya talaka, hatimaye mwigizaji Angelina Jolie na aliekuwa mumewake Brad Pitt wamepeana talaka rasmi.Ta...
Ikiwa leo ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa ya mwanamuziki Marioo, mzazi mwezie na mfanyabiashara Paula Kajala amempatia maua yake mpenzi wake huyo huku akiweka wazi kuwa amefa...
Msanii Harmonize amelazimika kuhairisha show yake iliyopewa jina la ‘Tukaijaze Nangwanda’ iliyotarajiwa kufanyika Januari Mosi 2025 katika viwanja vya Nangwanda mk...
Tukiwa tumebakiwa na masaa machache tu kwenda kuumaliza mwaka 2024 na kuingia mwaka 2025 huku kila mtu akiwa na malengo yake anayotamani kuyatimiza mwakani, hivyo basi utafiti...
Mwanaume mmoja kutoka Afrika Kusini ambaye hajawekwa wazi jina lake ameripotiwa kuwasilisha kesi ya talaka mahakamani baada ya mke wake kupiga picha yenye utata na mkali wa R&...
Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhozi Kainerugaba amezua gumzo mtandaoni baada ya kuonesha kuvutiwa na mwanamuziki kutokea Nigeria Ayra Starr.Kupitia mtandao wake wa...
African Giant albamu kutoka kwa Burna Boy bado inasumbua kwenye kiwanda cha muziki Afrika baada ya kuweka rekodi mpya ya kuwa album ambayo imesikilizwa zaidi kwenye kwenye mta...
Rapa wa Marekani Rick Ross ameonesha nia ya kununua mjengo wa msanii Cardi B baada ya rapa huyo kudai kuwa ameuchoka.Kupitia kwenye mtandao wa X zamani Twitter Rapa huyo wakik...
Mwanamuziki kutoka nchini Canada ambaye makazi yake ni Marekani The Weeknd ameingia kwenye vichwa vya habari mbalimbali baada ya kuripotiwa kulipia mabango katika nchi mbalimb...
Kulingana na utafiti uliyofanywa na kampuni ya ‘Kantar Worldpanel’, unaeleza kuwa nchi ya Brazil inashika nambari moja kama nchi inayopenda kuoga zaidi duniani, ik...
Ngoma ya Loyal ya mkali Chris Brown yaibukia kwenye mtandao wa TikTok ambako watu mbalimbali wamekuwa wakitumia kuchapisha video zao.Ngoma hiyo ambayo ilitoka Machi 24, 2014 h...
Mwandishi wa filamu kutoka Marekani Robert Eggers, ameimwagia sifa filamu ambayo inatizamwa zaidi katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka kwa kuitaja kuwa filamu bora ya...
Filamu maarufu inayokimbiza zaidi Duniani kote ya ‘Squid Game’ msimu wa pili imeripotiwa kuweka rekodi kwa kushika namba moja kwenye nchi zaidi ya 93.Kwa mujibu wa...
Rapa Malume Centrozone ameendelea kuwatambia rapa wenzake kutokana na mapokezi ambayo amekuwa akipata kila apandapo jukwaani na Country Wizzy ambaye wanaunda kundi la Moco.Map...