Rapa na mfanyabiashara kutoka Marekani, Kanye West 'Ye' amewajia juu kampuni ya Adidas baada ya kutumia jina lake wakati ambao mkataba wao wa kibiashara tayari umeshamalizika....
Rapa kutoka Marekani ameonesha ukarimu wake kama baadhi ya mastaa wanavyoonesha kwa mashabiki wao, kwa kumpatia muhudumu wa baa aitwaye Renee Brown, dola 20,000 ikiwa ni zaidi...
Kupitia ukurasa wake wa instagram msanii kutokea Lebo ya WCB amewashukuru mashabiki zake kwa muitikio mkubwa waliuonesha baada ya kuachia kionjo cha wimbo wake wa‘Inaman...
Miongoni mwa nyimbo kubwa za Bob Marley ni pamoja na hii ya ‘No Woman No Cry’ iliyotoka 1974 ikiwa moja ya ngoma zinazo patikana kwenye album yake ya Natty Dread.K...
Waigizaji maarufu Marekani Tom Holland na Zendaya wameripotiwa kuchumbiana wakati wa msimu wa Sikukuu uliyopita kwenye moja ya makazi ya familia ya Zendaya.TMZ imeeleza kuwa u...
Punda liyejizolea umaarufu kupitia filamu ya katuni ya ‘Shrek’ aliyepewa jina la Perry amefariki dunia akiwa na miaka 30.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na hi...
Ombi lililowasilishwa la kumkamata rapa Nick Minaj kufuatiwa na kesi ya kumpiga aliyekuwa meneja wake wa zamani, limekataliwa kutokana na kutokuwa na ushahidi wa kutosha Msema...
Mwigizaji kutoka Marekani Will Smith amedokeza ujio wa kurudishwa kwa filamu ya zamani ya ‘The Matrix’ akiweka wazi kuchukua nafasi ya Neo ambaye alikuwa ni muhusi...
Leo ni Birth Day ya album ya A Father Figure kutoka kwa mkali wa Hip Hop Dizasta Vina ambayo ilitoka rasmi January 6, 2024 ikiwa imeshiba ngoma kama Theluji, Nobody is safe 5,...
Msanii wa maigizo na mfanya biashara Jackline Wolper amemjia juu Mwijaku kwa kumtaka aache kuongelea maisha na biashara yake kufuatia taarifa za kuachana na alie kuwa mumewake...
Kwa miaka zaidi ya 25, Dully Sykes amekuwepo katika muziki akifanya vizuri kwa nyimbo zake maarufu huku akitoa albamu tatu ambazo ni Historia ya Kweli (2002), Handsome (2004) ...
Rais Joe Biden amemtunuku mwigizaji Denzel Washington heshima ya juu kabisa ya uraia kwa medali ya Uhuru wa chini hapo jana katika Ikulu ya White House nhini Marekani. Medali ...
Baada ya msanii wa maigizo Rose Ndauka kuachia Ep yake ya Majibu Rahisi mwezi Disemba, 2024 nakupokea maoni mengi ya kumkatisha tamaa, Msanii na Mtangazaji Frida Amani amekuja...
Rapa kutokea nchini Marekani Nicki Minaj ameshtakiwa na aliekuwa meneja wake wa zamani Brandon Garret kwa kumshambulia na kumpiga hali iliyosababisha mfadhaiko wa kihisia kwa ...