13
2face Amvisha Pete Mbunge Wa Edo
Baada ya kutangaza uhusiano wake mpya na mpenzi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Edo, Natasha Osawaru, sasa msanii huyo amemvisha pete mpenzi wake huyo.Kufuatia na video zinazoend...
12
Marekani Ilivyomuharibu Mtoto Jackie Chan
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanae kuharibika na madawa ya kulevya ni kutokana na mazingira ya...
12
2face Atambulisha Africa Queen Mwingine
Baada ya mwanamuziki kutoka Nigeria Innocent Idibia '2Face' kutangaza kuachana na mkewe Annie Idibia, baada ya kudumu kwenye ndoa kwa miaka 13, hatimaye ametangaza kuwa na uhu...
12
Urafiki Wa Mke Wa Jux Na Enioluwa Ulianzia Huku
Kati ya watu ambao wamepata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania, kutokana na mbwembwe walizofanya kwenye harusi ya msanii Jux na mkewe Priscilla ‘Hadiza&...
12
Utofauti Wa Wema Sepetu Na Nancy Sumari Upo Hapa
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
12
Maisha ya Brian baada ya kuigiza filamu ya Yesu
Brian Deacon ni jina la mwigizaji maarufu wa Uingereza aliyecheza kama Yesu Kristo katika filamu ya 'Jesus' (1979), iliyoandaliwa na kampuni ya 'Jesus Film Project'. Filamu hi...
11
Aliye nyuma ya ngoma ya Lamar inayomtesa Drake
Mustard ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wa Hip-hop wanaofanya vizuri duniani. Akifanikiwa kutengeneza ngoma kali za wasanii wakubwa ikiwa ni pamoja na 'Ballin' alioshi...
11
Kumbe Tupac hakuwa tajiri
Tupac Shakur ni moja ya watu maarufu katika historia ya muziki wa hip-hop duniani, hiyo ni kutokana na alama zisizofutia alizoziacha kwenye tasnia ya muziki. Lakini licha ya m...
11
Mjukuu wa mfalme aacha kutumia gari kisa kiota cha ndege
Mjukuu wa Mfalme kutoka Dubai, Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, aliwahi kuwavutia watu wengi huku akipokea pongeze kede kede baada ya kuacha kutumia gari yake...
11
Kauli tata za mama Hamisa kuhusu ndoa mwanae zawachanganya raia
Unaweza kusema ni lugha gongana kutokana na kauli za mama wa msanii na mfanyabiashara Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga kuhusu ndoa ya binti yake na nyota wa Yanga Stephanie Az...
11
Diddy Ngoma Ngumu, Mashitaka Kila Kukicha
Wakati mwanamuziki Kanye West akipambana kumrudisha mjini rapa Diddy, mambo yanaendelea kuwa magumu kwa msanii huyo, hii ni baada ya kukumbana na shitaka jingine lililofunguli...
11
Selena Gomez Anogewa Na Uigizaji
Selena Gomez, mwigizaji na mwanamuziki ambaye anaupiga mwingi katika tasnia ya burudani amefunguka kuwa itakuwa ni changamoto kwake kurudi kwenye muziki hii ni baada ya kufura...
11
Denzel Washington Hajali Kuhusu Tuzo
Mwigizaji kutoka Marekani, Denzel Washington ameweka wazi kuwa hana wasiwasi wowote baada ya kukosa uteuzi katika tuzo za Oscar huku akidai kuwa anajivunia sana kazi zake kuli...
11
Mashabiki Wamchagua Chris Brown Super Bowl 2026
Wakati mashabiki wakiendelea kumpa Kendrick Lamar maua yake kutokana na alichokifanya kwenye ‘Super bowl Half Time Show’ 2025, tayari baadhi ya mashabiki wameanza ...

Latest Post