16
Mjengo wa mwigizaji Cara wateketea kwa moto
Jumba la kifahari la mwanamitindo na mwigizaji kutoka nchini Marekani Cara Delevingne (31) lateketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, huku watu wawili wakijeruhiwa akiwemo askal...
16
India yazundua roboti wa kwanza mwalimu
Kampuni ya Makerlabs Edutech imezindua roboti wa kwanza mwalimu aitwaye Iris ambaye atafundisha katika shule ya Kerala, pamoja na Shule ya Sekondari ya Juu ya KTCT, Thiruvanat...
16
Nguo za Yeezy gap zadaiwa kuibiwa
‘Timu’ ya wafanyakazi katika kampuni ya mwanamuziki Kanye West, Ye’s imeripoti kuwa zaidi ya nguo zenye thamani ya dola 1 milioni zimeibiwa kwenye ghala la n...
16
Hilda Baci kufungua chuo cha mapishi
Mpishi maarufu ambaye alijuliakana zaidi baada ya kuvunja rekodi ya kupika kwa muda mrefu Hilda Baci anatarajia kufungua chuo cha mapishi ambapo darasa la kwanza linatarajiwa ...
16
Wizkid aukataa muziki wa Afrobeat
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Wizkid ameukataa muziki wa #Afrobeat kwa kudai kuwa yeye siyo msanii wa Afrobeat huku akipiga marufuku kwa vyombo vya habari nchini humo kup...
16
Card B: mapenzi kusaidiana
‘Rapa; Cardi B ameonekana kuwa mwanamke wa tofauti zaidi ya watu wanavyomfikiria baada ya kueleza kuwa yeye hayupo upande wa wanawake ambao wanawategemea wapenzi na wenz...
15
Young Soo ahukumiwa kwenda jela miezi nane
Muigizaji maarufu kutoka nchini Korea Oh Young-soo, ambaye alijulikana zaidi kupitia filamu yake ya ‘Squid Game’ amekutwa na hatia kwenye kesi ya unyanyasaji wa ki...
15
Mbappe amshitaki muuza kababu
Mchezaji wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe ameripotiwa kumshtaki mmiliki wa duka linalouza kababu huko Ufaransa baada ya kutumia jina lake kwenye kutangaza biashara yake h...
15
Diamond: Tumieni changamoto zangu kama motisha
Nyota wa muziki wa #bongofleva nchini Diamondplatnumz amewasihi vijana wenzake kutumia changamoto na kheri za maisha yake kama motisha ya kufanikiwa kimaisha.Diamond ameyaelez...
15
Afya ya bondia Coleman yazidi kuimarika
Baada ya kuripotiwa kuwa katika hali mbaya kutokana na kunusurika kwenye ajali ya moto, familia ya bingwa wa zamani wa UFC Mark Coleman, imeripoti kuwa mkali huyo kwa sasa ana...
15
Ceo wa Tiktok ajibu muswada wa marufuku mtandao wake Marekani
Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa TikTok Shou Zi Chew amewataka watumiaji wa mtandao huo kupinga sheria ambayo inaweza kusababisha kupigwa marufuku matumizi ya TikTok nchini M...
15
Kanye West hashikiki Spotify
Ikiwa ni wiki kadhaa tangu kuachiwa kwa albumu ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Kanye West, ya ‘Vultures 1’ ambayo ameshirikiana na ‘rapa’ Ty Dol...
14
Tyson aanza kujifua kwa pambano lijalo
Baada ya kutangaza kuingia ulingoni Julai 20, mwaka huu, bondia wa ngumi za kulipwa kutoka nchini Marekani, Mike Tyson (57) tayari ameingia #Gym kwa ajili ya kuanza mazoezi ya...
14
Tyla aachia kionjo cha ngoma yake mpya
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla ameachia kionjo cha ngoma yake mpya ambayo itakuwa katika album yake inayotarajiwa kutoka Ijumaa ya tarehe 22 mwaka huu.Kupitia ukurasa w...

Latest Post