06
Bongo Movie yapata mtetezi mpya
Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya filamu nchini Tanzania, maarufu kama Bongo Movies, imeonekana kukua kwa kiasi fulani. Hata hivyo, licha ya ukuaji huo bado kunaonekana...
05
Akoni mbioni kupokonywa ardhi ya mji wake
Imeripotiwa kuwa ardhi ya mwanamuziki kutoka Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon muda wowote kuanzia sasa inaweza kuchukuliwa na Serikali ya Senegal, endapo hatokamilisha m...
05
Picha ya chris Brown na Kehlani yazua gumzo mitandaoni
Mwanamuziki Chris Brown na msanii mwenzie Kehlan wamezua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha wakiwa pamoja ambayo ilitafsiriwa vibaya na mashabiki.Kupitia ukurasa wa Insta...
05
Daftari lenye mistari ya Wayne kuuzwa sh 13 bilioni
Daftari (notebook) ya zamani ya mwananamuziki Lil Wayne aliyokuwa akiitumia kuandika nyimbo zake mbalimbali lipo sokoni kwa ajili ya kuuzwa.Kwa mujibu wa Tmz imeeleza kuwa daf...
05
Niliyoyaona kwenye tuzo za filamu Zanzibar ZIFF hayafurahishi
Kwa niliyoyaona siku nne za tamasha la 27 la filamu za kimataifa Zanzibar 'ZIFF' nadhani yanaweza kuelezeka kwa msemo wa "ng'ombe unaweza kumpeleka mtoni lakini hauwezi kumlaz...
05
50 Cent amwaga cheko baada ya kushinda kesi
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amefurahia kushinda kesi iliyokuwa ikimtaka kulipa Sh 2.6 Trillioni hii ni baada ya kudaiwa kuiba stori ya muuza madawa ya kulevya a...
03
Linapokuja suala la historia Celine Dion yupo tayari kwa lolote
Mwanamuziki mkongwe wa Canada Celine Dion afunguka kuwa linapokuja suala la historia yake yupo tayari kwa lolote.Mkali huyo wa ‘My Heart Will Go On’ akizungumza na...
03
Manula atemwa Simba, watambulishwa wanne
Aliyekuwa kipa namba moja wa Simba, Ashi Manula ametemwa kwenye kikosi cha timu hiyo msimu 2024/25 baada ya timu hiyo kutambulisha makipa wanne huku jina lake likiondolewa.Ofi...
03
Snoop Dogg amkumbuka Malikia Elizabeth
Mwanamuziki kutoka Marekani Snoop Dogg amekumbuka mchango wa marehemu Malikia Elizabeth kutokana na mambo aliyowahi kumfanyia enzi za uhai wake.Wakati alipokuwa kwenye mahojia...
03
Tanzania mambo magumu Olimpiki, yakosa medali nyingine
Matumaini ya Tanzania kupata medali katika michezo ya Olimpiki 2024 sasa yamebakia kwa wakimbiaji wanne baada ya leo muogeleaji Sophia Latiff kushindwa kufua dafu katika shind...
03
Raia wamkataa mshiriki wa Miss South Africa
Wananchi wa Afrika Kusini wamezua gumzo mitandaoni baada ya kumkataa Chidimma Adetshina kushiriki ‘Miss Afrika Kusini’ kwa kudai kuwa mrembo huyo ni raia wa Nigeri...
03
Iphone zitakuwa na uwezo kwa kurekodi mazungumzo
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni ya simu za Iphone imeweka wazi kuwa katika mfumo wao wa ‘iOS 18.1’ wanatarajia kufanya maboresho katika upande wa kupi...
03
Cardi B athibitisha kuwa ujauzito ni wa Offset
Baada ya kuwepo na minong’ono kupitia mitandao ya kijamii ambayo baadhi ya mashabiki wakitaka kujua ujauzito aliyonao Cardi B ni wanani, sasa msanii huyo ameweka wazi ku...
03
Timu ya Lakers yatoa heshima kwa Kobe na mwanaye
Timu ya mpira wa kikapu kutoka Marekani ‘Los Angeles Lakers’ siku ya Jana Agosti 2, imezindua sanamu la marehemu nguli wa kikapu Kobe Bryant na mwanaye.Kufuatia na...

Latest Post