Mwanamuziki Diamond Platnumz ameiomba Serikali kutengeneza Arena kwa ajili ya matamasha makubwa ya muziki kama Trace.Diamond ameyasema hayo leo Februari 26,2025 wakati akiingi...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Death Row Records, Suge Knight, amemshtumu Snoop Dogg kwa kujaribu kumdhamini Duane “Keefe D” Davis ambaye ni mtuhumiwa mkuu katik...
Wakati maandalizi ya utolewaji tuzo za Trace yakiendelea kisiwani Zanzibar. Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa ni kuhusiana na mwanamuzi...
Hatimaye mwigizaji Aaron Pierre amefunguka kuhusu video yake ya 'That Mufasa' inayosambaa kwenye mtandao ya kijamii na vutia wengi. Video ambayo ilipatikana kwenye kipindi cha...
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii mapema leo Februari 26, 2025 nikakutana na video inayomuonesha mwanamuziki Alikiba akisalimiana na Harmonize kwa kukumbatiana ...
Unaweza kusema ni bahati ya kipekee iliyoishukia Tanzania kwa mara nyingine tena. Achana na mashindano ya AFCON 2027 ambayo pia yatafanyika Tanzania. Kwa sasa ni tukio la buru...
James Cameron ni mmoja wa waandishi, waongozaji, na watayarishaji wa filamu maarufu duniani. Huku akijulikana zaidi katika kutengeneza filamu kubwa zilizopata mafanikio na mau...
Mwaka 2006 liliandiliwa shindano la kusaka vipaji vya uimbaji lililopewa jina la 'Talent Show'. Shindano hilo lilikuwa na msisimko mkubwa kwani walijitokeza vijana wengi ambao...
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
Wakati Rapa wa Atlanta, Young Thug akiendelea kupigania uhuru wake, ameiomba mahakama kumrudishia baadhi ya mali zake ikiwa ni pamoja na pesa, vito vya thamani, na magari.Vitu...
Baada ya kudumu katika ndoa kwa takribani miaka 37, mwigizaji mkongwe wa Bollywood, Govinda Arun Ahuja na mke wake Sunita Ahuja, wameripotiwa kuachana huku sababu ikidaiwa kuw...
Miaka ya 1940, kulikuwa na saluni zilizopewa jina la ‘Slenderizing Salons’. Saluni hizo zilipata umaarufu kutokana na wanawake wengi kupendelea kwenda kwa lengo la...
Zimebaki siku kadhaa kuingia mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwezi ambao hupambwa kwa swala na nyimbo mbalimbali za Kaswida. Ni ngumu mwezi huo kumalizika bila kusikia wimbo uitwao...
Inafahamika kuwa mwanamuziki Sebastian Charles 'Jaivah' ni miongoni mwa wasanii waliopita vizuri na upepo wa muziki wa Amapiano. Tangu ulipoanza kuvuma ukitokea Afrika Kusini....