27
Diamond alia na serikali ukosefu wa Arena Tanzania
Mwanamuziki Diamond Platnumz ameiomba Serikali kutengeneza Arena kwa ajili ya matamasha makubwa ya muziki kama Trace.Diamond ameyasema hayo leo Februari 26,2025 wakati akiingi...
26
Mapya Yaibuka Kesi Ya Tupac, Snoop Dogg Atajwa
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Death Row Records, Suge Knight, amemshtumu Snoop Dogg kwa kujaribu kumdhamini Duane “Keefe D” Davis ambaye ni mtuhumiwa mkuu katik...
26
Diamond Hataki Unyonge
Wakati maandalizi ya utolewaji tuzo za Trace yakiendelea kisiwani Zanzibar. Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa ni kuhusiana na mwanamuzi...
26
Upendo Wa Mashabiki Kwa Mufasa Umevuka Mipaka
Hatimaye mwigizaji Aaron Pierre amefunguka kuhusu video yake ya 'That Mufasa' inayosambaa kwenye mtandao ya kijamii na vutia wengi. Video ambayo ilipatikana kwenye kipindi cha...
26
Sababu ya Alikiba kukataa mkufu wa Harmonize
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii mapema leo Februari 26, 2025 nikakutana na video inayomuonesha mwanamuziki Alikiba akisalimiana na Harmonize kwa kukumbatiana ...
26
Sababu Tuzo za Trace kufanyika Zanzibar
Unaweza kusema ni bahati ya kipekee iliyoishukia Tanzania kwa mara nyingine tena. Achana na mashindano ya AFCON 2027 ambayo pia yatafanyika Tanzania. Kwa sasa ni tukio la buru...
26
Huyu ndio James Cameron aliyenyuma ya filamu ya Titanic, Avatar
James Cameron ni mmoja wa waandishi, waongozaji, na watayarishaji wa filamu maarufu duniani. Huku akijulikana zaidi katika kutengeneza filamu kubwa zilizopata mafanikio na mau...
26
Kabla ya THT Barnaba, Amini, Young Dee walianzia huku
Mwaka 2006 liliandiliwa shindano la kusaka vipaji vya uimbaji lililopewa jina la 'Talent Show'. Shindano hilo lilikuwa na msisimko mkubwa kwani walijitokeza vijana wengi ambao...
25
Diamond kutoana jasho na Burna Boy, Asake, Trace Music Award
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
25
Young Thug Aomba Kurudishiwa Mali Zake
Wakati Rapa wa Atlanta, Young Thug akiendelea kupigania uhuru wake, ameiomba mahakama kumrudishia baadhi ya mali zake ikiwa ni pamoja na pesa, vito vya thamani, na magari.Vitu...
25
Ndoa Ya Govinda Na Mkewe Ipo Matatani
Baada ya kudumu katika ndoa kwa takribani miaka 37, mwigizaji mkongwe wa Bollywood, Govinda Arun Ahuja na mke wake Sunita Ahuja, wameripotiwa kuachana huku sababu ikidaiwa kuw...
25
Kwenye Saluni Za Miaka Ya 1940 Mambo Yalikuwa Hivi
Miaka ya 1940, kulikuwa na saluni zilizopewa jina la ‘Slenderizing Salons’. Saluni hizo zilipata umaarufu kutokana na wanawake wengi kupendelea kwenda kwa lengo la...
25
Mfahamu Maher Zain wa nyimbo za Ramadhan anayeimba kwa lugha saba
Zimebaki siku kadhaa kuingia mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwezi ambao hupambwa kwa swala na nyimbo mbalimbali za Kaswida. Ni ngumu mwezi huo kumalizika bila kusikia wimbo uitwao...
25
Jaivah: Nimepata Kolabo Za Wasanii Wakubwa Nigeria
Inafahamika kuwa mwanamuziki Sebastian Charles 'Jaivah' ni miongoni mwa wasanii waliopita vizuri na upepo wa muziki wa Amapiano. Tangu ulipoanza kuvuma ukitokea Afrika Kusini....

Latest Post