28
Marehemu AKA akumbukwa, mama yake atuma ujumbe
Ikiwa leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa aliyekuwa mwanamuziki wa Afrika Kusini marehemu Kiernan Forbes 'AKA', familia yake imeendelea kumkumbuka huku mama yake akishusha uj...
28
Siri Snopp Dogg kudumu kwenye ndoa miaka 27
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Snoop Dogg amefunguka siri ya kudumu kwenye ndoa yake na mkewe Shante Broadus kwa miaka 27.Akizungumza na tovuti ya People kwenye moja ya maho...
28
Bill Gates atamani kuwa Mnigeria, amtaja Burna Boy
Mmiliki wa kampuni wa Microsoft na bilionea kutoka Marekani Bill Gates amefunguka kuwa anatamani kuwa Mnigeria kufuatiwa na kuzikubali ngoma za Afrobeat.“Kama nisingekuw...
28
Uamuzi wa Trump wamliza Gomez
Mwanamuziki na mfanyabiashara Selena Gomez ameshindwa kuvumilia na kuamua kumwaga machozi kuhusiana na uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuwatimuwa wahamiaji.Kupitia uku...
28
Nyama hii huuzwa laki nane kwa kilo moja
Umewahi kufikiria kununua kilo ya nyama kwa laki nane? kama jibu ni hapana fahamu kuwa kuna baadhi ya nchi watu hununua kwa bei hiyo.Nchini Japan hutumia gharama hiyo kununua ...
28
Usiyoyajua kuhusu Izzo Bizness
Rapa Izzo Bizness kutokea Mbeya ana miaka zaidi ya 15 ndani ya Bongo Fleva, ametoa EP moja, The Capricorn (2021), huku akifanya shoo kubwa na miradi mikubwa kwenye tasnia...
28
Tiwa Savage ajuta kuvunja ndoa yake kisa mchepuko
Mkali wa Afrobeat nchini Nigeria Tiwa Savage ameeleza kujutia kuachana na mume wake na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine. Akizungumza kwenye mahojiano yake na moja ya ch...
27
Darassa kuja na albamu Take Away The Pain
Mwanamuziki Darassa 'Mr Burudani' ametangaza ujio wa albamu yake mpya itakayoitwa Take Away The Pain.Albamu hiyo ambayo inatarajia kuachiwa rasmi Februari 7, 2025 ikiwa imebeb...
27
Baada ya miaka 13 ya ndoa 2Face na mkewe watengana
Mwanamuziki wa Nigeria, Innocent Idibia '2Face' ametangaza kutengana na aliyekuwa mkewe Annie Idibia baada ya kudumu kwenye ndoa kwa miaka 13.Kupitia video inayosambaa kwenye ...
27
Mastaa hawa walipigwa marufuku kuingia nchi hizi
Kila nchi ina misingi na sheria zake. Mara nyingi jina na umaarufu wa mtu si sababu ya kuvunja sheria za nchi fulani. Licha ya kuwa na umaarufu mkubwa lakini wasanii hawa wali...
26
Whozu atemana na Too Much Money
Msanii Whozu amejitoa kwenye record label ya Too Much Money na sasa ni msanii anayejitegemea.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Whozu ameweka taarifa rasmi ya kuondoka kwenye l...
26
2pac Kafa Kweli au Alifoji kifo
Watu wanadai kuwa kifo cha Tupac kilikuwa feki wakisema kuwa jamaa ilibidi afanye hivyo kwa sababu alikuwa anawindwa sana na maadui wakiwemo watu wake wa karibu pamoja na seri...
25
Scene Za Mapenzi Zinavyomtesa Abdulrazak
Miongoni mwa waigizaji wapya wanaotikisa kiwanda cha filamu nchini ni Abdulrazak ambaye anaonekana kwenye tamthilia ya Jua Kali.Licha ya kuonekana kwa mara ya kwanza akiigiza ...
25
Njaanuari Na Huba La Pisi Kali Kwa Vizee
Unakatiza zako kitaa. Iwe Mlimani City ama Sinzani kwenye maduka yao yale ya shumizi na vijora. Mara paap unakutana na karembo flan hivi amazing. Unaona kukaacha kapite hivi h...

Latest Post