18
Jay Z, Familia Yake Wapokea Vitisho Vya Kuuawa
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
18
Grand P Atambulisha Mpenzi Mpya
Mwanamuziki na mfanyabiashara tajiri kutoka Guinea, Moussa Sandiana maarufu Grand P, amemtambulisha mpenzi wake mpya aitwaye Mariame, baada ya kuachana na mwimbaji na mwanamit...
18
Mfahamu Mwanamke Aliyekaa Na Ujauzito Tumboni Miaka 60
Kama tunavyojua ujauzito unapo haribika tumboni basi litachukuliwa jukumu la kusafisha na kuacha tumbo likiwa salama, lakini hii imekuwa tofauti kwa mwanamama mmoja kutoka Chi...
18
Dimpoz Kuirudisha Lebo Ya Pozi Kwa Pozi
Baada ya record lebo ya ‘Pozi Kwa Pozi’ (PKP) iliyokuwa chini ya msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz kufanya vizuri miaka ya 2016 ikiwa na msanii wake Nedy Music, h...
18
Show Ya Super Bowl Halftime Yazidi Kumpaisha Kendrick Lamar
Ikiwa zimepita siku chache tu tangu kuweka rekodi kupitia onyesho lake la ‘Super Bowl Halftime’, ambalo limekuwa tamasha lililotazamwa zaidi katika historia, na sa...
18
Hii Ndio Sababu Ya Kifo Cha Mwigizaji Kim Sae-Ron
Baada ya kuripotiwa kwa taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul, hatimaye sababu kifo chake imetambulika.Kwa mujib...
17
Mwigizaji Kim Sae-Ron Afariki Dunia
Tasnia ya filamu na burudani Korea Kusini imepata pigo baada ya taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul.Kwa mujibu...
17
Jay-Z Amshitaki Buzbee Kwa Kumchafua
Baada rapa na mfanyabiashara kutoka Marekani Jay-Z kushinda kesi ya unyanyasaji wa kingono iliyofunguliwa na mwanadada Jane Doe Disemba 9, 2024. rapa huyo ameripotiwa kumshita...
17
Maumivu Ya Tumbo Yamfanya Shakira Ahairishe Show
Mwanamuziki kutoka Colombia, Shakira ameahirisha moja ya show yake nchini Peru kutokana na tatizo la tumbo ambalo lilimfanya alazwe hospitali.Nyota huyo anayetamba na ngoma ya...
17
Mwana Fa: Hakuna Mtawala Kwenye Sekta Ya Uchekeshaji
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
17
Rais Samia Mgeni Rasmi Kwenye Ugawaji Tuzo Za Comedy
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ndio anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa tuzo za wachekeshaji ‘Tanzania Comedy Award’ ...
17
Sauti za Busara 2025 ilivyotumika kupigania amani ya dunia
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
16
MAMA MOBETTO AFUNGUKA HAYA BAADA YA NDOA KUPITA
Mama mzazi wa mfanyabiashara na mwanamitindo Hamisa Mobetto, Shufaa ameonesha furaha kufuatia na ndoa ya mwanaye huku akiweka wazi tuu anamshukuru Mungu kwa kumletea mkwe sahi...
16
AZIZ KI NA MOBETTO SASA NI MKE NA MUME
Baada ya kuzuka kwa tetesi nyingi kuhusiana na harusi ya nyota wa Yanga na Mwanamitindo Hamisa Mobetto, hatimaye ndoa ya wawili hao tayari imeshapita.Ndoa hiyo imefungwa na Sh...

Latest Post