14
Mandojo kuzikwa leo saa 10 jioni
Mfanyabiashara na msanii Joseph Francis, maarufu Mandojo anatarajiwa kuzikwa leo Jumatano Agosti 14, 2024 saa 10 jioni wilayani Manyoni, Mkoa wa Singida.Kutokana na ratiba ili...
13
Mandojo kuagwa leo Dodoma, kuzikwa kesho Manyoni
Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Joseph Frank maarufu Mandojo anatarajiwa kuzikwa kesho eneo la Samaria, Wilaya ya Manyoni mkoani Singida.Mandojo alifariki dunia Jumapili Agos...
07
Patrick Aussems kocha mpya Singida BS
Aliyewahi kuwa ‘kocha’ mkuu wa Simba SC, Patrick Aussems maarufu pia kama Uchebe, raia wa Ubelgiji amerejea nchini, safari hii akiwa na Singida Black Stars inayosh...
09
Bruno wa Singida FG atambulishwa Brazil
Baada ya kutangaza kuvunja mkataba siku chache zilizopita na ‘timu’ yake ya zamani ya Singida Fountain Gate, kiungo Bruno Gomes ameripotiwa kurejea nchini kwao na ...
14
TFF hawana mzaha, Sasa zamu ya Singida FC
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewafungia kusajili wachezaji, ‘klabu’ ya Singida Fountain Gate inayoshiriki ‘ligi’ kuu ya NBC kwa kosa l...
08
Simba waichapa Singida Big Star
Simba SC imeibuka na ushindi wa bao 2-1 baada ya mchezo uliochezwa katika uwanja wa CCM Kilumba dhidi ya  Big Stars FC.  Ambapo bao la kwanza lilifungwa  na Sai...
19
Kocha wa Singida, Middendorp aondoka
‘Kocha’ mpya wa Singida Ernst Middendorp ameripotiwa kuondoka kwenye 'klabuni' ikiwa zimepita siku kadhaa tangu kuingia katika kazi ya kukinoa kikosi hicho huku al...
08
Chama na Jesus hawataiona ngao ya jamii
Winga wa ‘klabu’ ya #Yanga, #JesusMoloko atakosekana katika mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC kutokana na kutumikia ‘kadi’ nyekundu aliyoipata k...
19
Huu uzi umeenda
Huku purukushani za usajili zikiendelea katika vilabu mbalimbali, Singida Fountain Gate FC imeshusha ‘jezi’ mpya (Uzi) ya msimu 2023/2024, uzinduzi huo wa ‘j...
22
Kakolanya apewa mkono wa kwaheri Simba
Klabu ya Simba tayari imeachana na watu 8 kwenye benchi la ufundi na wachezaji na leo mtu wa 9 kuachana nae kikosini hapo ni golikipa namba mbili, Beno Kakolanya. Kakolanya a...
14
Singida Big Star sasa itaitwa Singida Fauntain Gate FC
Mjumbe wa Bodi ya Singida Fountain Gate FC, John Kadutu amesema timu ya Singida Big Stars ambayo ilimaliza nafasi ya nne msimu wa 2022/23 na kushiriki michuano ya Kombe la Shi...
05
Bruno Gomez azua gumzo mitandaoni
Kiungo wa Singida BS, Bruno Gomez alizua gumzo zaidi jana baada ya kwenda kwenye benchi la Yanga na kuwasalimia wachezaji wa akiba pamoja na makocha wao kabla mchezo haujaanza...
10
Tani 100 za mahindi ya ruzuku kukabili baa la njaa Singida
Mahindi hayo yanatarajiwa kuuzwa kwa bei ya Tsh. 830 kwa Kilo, kwa Wananchi katika Vijiji vya Wilaya ya Ikungi waliokumbwa na uhaba wa Chakula kutokana na kupata Mavuno kidogo...

Latest Post