17
Hichi ndio kimefanya Diddy akamatwe na polisi
Ikiwa yamepita masaa machache tangu kukamatwa kwa ‘rapa’ Diddy tayari waendesha mashitaka wamefichua kilichomfanya mwanamuziki huyo kutiwa nguvuni kwa kueleza kuwa...
31
Jaymoe: Msisubiri mpaka tufe ndio mtupe maua yetu
Mkongwe wa Hip-hop nchini Jaymoe amewataka mashabiki na wapenzi wa muziki kumpa maua yake kabla hajafa kutokana na mengi aliyoyafanya na wasanii wenzie katika tasnia hiyo.Kati...
04
Hiki ndiyo kimemfanya Barnaba kuhamia kwenye filamu
Mwanamuziki Barnaba Classic ambaye kwa sasa ni mwigizaji wa filamu ya Mawio inayorushwa Azam Tv amesema kuwa kabla ya kuanza muziki alikuwa mwigizaji “Nilikuwa mwigizaji...
19
Champion Sound ya Davido ndio Amapiano inayosikilizwa zaidi
Mtandao wa #Spotify umetangaza wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Davido  ‘Champion Sound’ aliyomshirikisha  msanii kutoka Afrika Kusini #Focali...
11
Hili ndio gari la polisi Miami
Idara ya Polisi ya ‘Miami Beach’ nchini Marekani imetangaza kuwa kwasasa polisi watatumia magari ya Rolls-Royce katika doria za sehemu ya ufukwe (beach) pamoja na ...
21
Utafiti: Wanandoa wasiotumia mitandao ndio wenye furaha zaidi
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Kansas unaeleza kuwa wanandoa ambao hawajihusishi sana na mitandao ya kijamii huwa na furaha zaidi kuliko wanaojihusisha na...
01
Maokoto yambadilisha Rihanna, ajifunga mtandio kiunoni
Mwanamuziki Rihanna amewashangaza wengi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akiwa nchini India amejifunga mtandio kiunoni.Rihanna ameonekana kwenye vazi hilo wakati...
23
Esma: Hii ndio ndoa yangu ya mwisho
Baada ya kufunga ndoa usiku wa kuamkia leo na mpenzi wake Jembe One, mfanyabiashara na dada wa mwanamuziki Diamond, Esma Platnumz ameeleza kuwa ndoa hiyo ndio itakuwa ndoa yak...
29
Diamond Mbana pua mwenye damu ya Hip Hop
RAMADHAN ELIAS KOLABO la Diamond Putnumz na Mr Blue ndio habari ya mjini kwa sasa. Wimbo ni 'Mapozi' humo ndani akiwemo pia Jay Melody. Inabamba kinoma huko kitaa. Gemu ya Hip...
10
Saudia hawana ubahili kwenye soka
Muanzilishi wa kampuni ya ‘FutBolJobs’ Valentin Botella Nicolas, kutoka nchini Saudi Arabia amepanga kusajili wachezaji wapya kwa ajili ya ‘ligi’ daraj...
10
Enjoy ya Jux yamkosha Lupita
Ngoma ya Jux aliyomshirikisha Diamond Platnumz yaingia kwenye listi ya muigizaji kutoka nchini Kenya Lupita Nyong’o ukiwa ni wimbo namba saba kati ya kumi alizo ziorodhe...
23
Hawa ndio wasanii walionyakuwa tuzo nyingi 2023
HAWA NDIYO WASANII WALIONYAKUA TUZO NYINGI MWAKA 2023Mwaka 2023, wapo baadhi ya wasanii ambao wanatamani mwaka huu uishe ili wajaribu tena mwakani lakini wapo waliobahatika ku...
23
Rema: Huyu ndio Rais wa kwanza kukutana nae
Baada ya kuhudhuria katika Tuzo za Trace nchini Rwanda Mwimbaji wa Afrobeat kutoka Nigeria Rema alikutana na raisi wa nchi hiyo Paul Kagame na kuweka wazi kuwa ndio raisi wa k...
03
Fei toto: Kisa yanga mpenzi wangu aliniacha
Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Fei Toto amefunguka makubwa na kueleza kuwa sakata lake na ‘klabu’ ya Yanga la kuvunja mkataba lilimfanya akaachana na mpenzi wake aliy...

Latest Post