06
50 Cent: Nimefanya makosa kadhaa lakini siyo kuoa
Mwanamuziki wa Marekani 50 Cent amefunguka kuhusiana na suala lake la useja (kuwa single) huku akiweka wazi kuwa amefanya makosa mengi sana lakini hajafikiria kufanya kosa la ...
27
Ukikubali kuoa/kuolewa unalipwa zaidi ya Sh 102 Milioni
Ukiwa ni muendelezo wa kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini Korea Kusini, Wilaya ya Saha, Busan inampango wa kuwalipa wakazi wa eneo hilo watakao kubali kuchumbia...
08
Tajiri Murdoch kuoa tena kwa mara ya tano
Mwanzilishi wa vyombo vya habari na tajiri maarufu kutoka nchini Marekani Rupert Murdoch (92) anatarajia kufunga ndoa yake ya tano na mpenzi wake Elena Zhukova (67).Kwa mujibu...
02
Mbosso: Nikirudi Tanzania naoa
Mwanamuziki wa #Bongofleva nchini ameweka wazi kuwa akirudi Tanzania anaoa kutokana na umri kumtupa mkono.Mbosso kupitia moja ya video zake amesikika akisema kuwa anaona utuuz...
28
Arnold Schwarzenegger hana mpango wa kuoa tena
Baada ya Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Arnold Schwarzenegger kupeana talaka na mkewe Maria Shriver mwaka 2021, inadaiwa kuwa muigizaji huyo kwa sasa hana mpango wa ...
13
Manara: Napenda mpira kuliko ninavyopenda kuoa wadada warembo
Aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya Yanga, Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza hisia zake kuhusiana baada ya kukosa kutazama ‘mechi’ liv...
13
Aoa wake 7 kwa mpigo, Huku bibi harusi wawili wakiwa ni ndugu
Mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Uganda anayefahamika kwa jina la Ssaalongo Nsikonenne Habib amezua gumzo kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuf...
25
Drake hana mpango wa kuoa kwasasa
Msanii kutoka nchini Marekani, Drake amefunguka sababu ya yeye kuchelewa kuoa, licha ya kuwa baadhi ya watu wanamuona anastahili kuwa na mke kwa sasa. Drizzy ambaye ana umri w...
11
Azua gumzo baada ya kuoa wanawake watatu kwa mpigo
Bwana bwana sijui kama umekutana  nayo hii katika status au mitandao ya kijamii kuhusiana na kijana Athumani Yengayenga mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Shanwe Manispaa ...
28
Mama achoma moto nyumba baada ya mume kuoa mke mwengine
Baada ya kugundua mumewe ameongeza mke wa 2 mwanamke mmoja nchini Kenya katika eneo la Kajiado amechoma moto nyumba yake akiwemo ndani, na kusababisha vifo vya watoto wake waw...
25
Mwandishi wa habari ajutia kuoa wanawake wawili
Duuuuuuh! Wakati wengine wakifurahikia ndoa za mitala wenginge huku kwao ni changamoto basi bwana mwanahabari Maynard Manyowa kutoka nchini Kenya amefunguka na kueleza kuwa an...
27
Serikali yapandisha umri wa kuoa na kuolewa miaka 18
Taarifa kutoka uingereza ambapo kupitia Sheria mpya iliyoanza kutumika Nchini humo na Wales ambako awali Watu walikuwa wakioana wakiwa na Miaka 16 au 17 ikiwa watapata kibali ...
07
Kijana wa miaka 25 kuoa mwanamke wa miaka 85
Eee bwana moja ya video ambayo inatrend katika mitandao mbalimbali ya kijamii ni ya kijana mwenye umri wa miaka 25 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Muima ambaye amezam...
08
Kutooa au kutoolewa ni kaburi la mapema
Hivi sasa imethibitika kwamba, watu wasiooa au kuolewa, wanaishi kwa umri mdogo zaidi ukilinganisha na wale ambao wameoa au kuolewa. Taarifa hizi siyo hadithi bali ni ukweli a...

Latest Post