14
Azindua manukato yaitwayo talaka baada ya kuacha na mumewe
Binti wa mfalme kutoka Dubai Princess Mahra bint Mohammed bin Rashid Al Maktoum, ameripotiwa kuzindua manukato yaitwayo ‘Divorce’ (Talaka) baada ya kuachana na mum...
04
Kuachana kwa Cardi B na Offset hakuzuii watoto kufurahi
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B na mumewe Offset wameripotiwa kuonekana pamoja wakifurahia siku ya kuzaliwa ya mtoto wao siku chache zilizopita licha ya wawili hao kuwasilisha...
20
Mwanahawa Ally rasmi kuacha muziki, maradhi yatajwa
Msanii mkongwe wa Taarab nchini Tanzania, Mwanahawa Ally, ameamua kuacha kuimba kutokana na maradhi yanayomsumbua.Hayo yamebainishwa  na Zamaradi Mketema wakati akizungum...
12
Zari na Shakib wadaiwa kuachana, Diamond atajwa
Mfanyabiashara Zari na mumewe Shakib wameripotiwa kugombana tena, hii ni baada ya mwanamuziki Diamond kutua Afrika Kusini kwa ajili ya kusheherekea siku ya kuzaliwa ya mtoto w...
30
Snura: Sio muziki tuu hata kwenye filamu hamtaniona
Moja ya stori ambazo zilishika vishwa vya habari vingi siku ya jana ni kuhusaiana na suala zima la mwanamuziki Snura Anton Mushi 'Snura' akitangaza kuachana na muziki, lakini ...
25
Ajiziba uso ili aache kuvuta sigara
Kuacha sigara ni mchakato ambao baadhi ya watumiaji wamekuwa wakigonga mwamba kila uchwao, lakini kwa Ibrahim Yücel kutoka Uturuki ilikuwa rahisi baada ya kutengeneza kof...
18
Kizz Daniel adaiwa kuachana na mkewe
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Kizz Daniel ameripotiwa kuachana na mkewe, hii ni baada ya kufuta picha zote akiwa na mama watoto wake huyo. Kupitia ukurasa wa Instagram wa K...
15
Kampuni ya Apple yashitakiwa kwa kusababisha mume na mke kuachana
Mfanyabiashara wa Uingereza aliyefahamika kwa jina la Richard ameripotiwa kuishitaki kampuni ya simu za Iphone, hii ni baada ya kampuni hiyo kurudisha ‘meseji’ zil...
10
Jennifer Lopez na Ben wauza nyumba, Wadaiwa kuachana
Mwanamuziki wa Marekani Jennifer Lopez na mumewe Ben Affleck wanadaiwa kuachana baada ya kuuza nyumba yao waliyoijenga pamoja kwa dola 60 milioni. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ ...
20
Banda afunguka kuachana na mdogo wa Kiba
Baada ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa.Staa...
30
Rapa Lizzo atangaza kuacha muziki
'Rapa’ kutoka nchini Marekani Lizzo ametangaza kuacha kufanya muziki baada ya kidai kuwa haoni manufaa wala mafanikio aliyoyapata toka aanze kufanya muziki.Kupitia ukura...
09
Show yafanya Usher aache pombe
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #UsherRaymond ameamua kuacha matumizi ya Pombe na vinywaji vyenye sukari kwa ajili ya kujiandaa na onesho la ‘Super Bowl Halftime&rsqu...
21
Maokoto yamliza muigizaji taraji
Muigizaji kutoka nchini #Marekani Taraji P. Henson aangua kilio katikati ya mahojiano baada ya kuulizwa kuhusiana na kufikiria kuacha kufanya kazi ya uigizaji na kudai kuwa hu...
29
Jada asisitiza kutoachana na Smith
Aliyekuwa mke wa muigizaji Will Smith, Jada amesema kuwa yeye na Will wataishia kutengana na siyo kuachana. Kufuatia mahojiano yake na Drew Barrymore siku ya jana Jumanne mwan...

Latest Post