07
Uwoya agoma kufuta tatoo hadi Roho Mtakatifu amwambie
Mwigizaji Irene Uwoya amesema licha ya kuingia kwenye maisha ya wokovu hawezi kufuta tatoo zilizopo mwilini mwake hadi Roho Mtakatifu atapomwambia.Uwoya ameyasema hayo leo Sep...
09
Utafiti: Kula ngozi ya kuku ni hatari
Inaripotiwa kuwa ngozi ya kuku inakiwango kikubwa cha mafuta ambayo ni hatari kwa afya ya binaadamu. Kwa mujibu wa tovuti mbalimbali duniani zinaeleza kuwa ngozi ya kuku ina m...
29
Miami Beach yafuta Sean Diddy Combs Day
Uongozi wa Miami Beach umeondoa siku maalumu ya ‘rapa’ Diddy ambayo ilizinduliwa kwa mara ya kwanza Oktoba 13, 2016, huku sababu ikitajwa ni kufuatia na video ya C...
21
Diddy afuta posti zote Instagram
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy Combs ameripotiwa kusafisha ukurasa wake wa Instagram kwa kufuta posti zote alizowahi ku-share kwenye mtandao huo ikiwemo video yake ya ...
04
Rude Boy awaonya wazazi wanaoshauri watoto wao kutafuta masponsa
Mwanamuziki nchini Nigeria Rude Boy, ametoa ushauri kwa wazazi mwenye watoto wa kike wanaoamini kuwa mwanaume ndiye mwenye jukumu la kughalamikia maisha ya mabinti wakati wote...
03
Jinsi ya kutengeneza mafuta ya nazi
Biashara ya mafuta asili inazidi kukua kwa kasi kila uchwao, watu mbalimbali wamechukulia bidhaa hiyo kama sehemu ya kujipatia kipato.Mafuta ya nazi ni bidhaa ambayo hutokana ...
07
Rihanna aikacha Met Gala 2024
Wakati wadau mbalimbali wakisubiri kuona muonekano wa mwanamuziki Rihanna katika usiku wa tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika katika ukumbi wa &lsq...
27
Post Malone ataja sababu ya kuchora tattoo usoni
Rapa maarufu kutoka nchini Marekani #PostMalone amefunguka sababu ya kuchora tattoo usoni akidai kuwa alikuwa anatafuta mwonekano mzuri wa uso wake. Kwa mujibu wa tovuti ya Da...
27
Ex wa Cr7 agoma kubaki single
'Hapoi haboi' kauli hii unaweza kumwelezea aliyekuwa mpenzi wa  mchezaji wa klabu ya #AlNassr, #CristianoRonaldo, Irina Shayk baada ya kuachana na mpenzi wake wa sasa, To...
20
Man City yaanza kutafuta mbadala wa Pep
Mabosi wa klabu ya #ManchesterCity wameanza kutafuta ‘kocha’ mwingine baada ya mkataba wa kocha’ #PepGuardiola kuelekea ukingoni klabuni hapo. Awali iliripot...
13
J.Cole afuta ngoma ya 7 minute Drill
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani J.Cole kumuomba msamaha Kendrick Lamara katika onesho la Dream Ville lililofanyika wiki hii, kuhusiana na kumsema vibaya Lamar kupi...
09
Jinsi ya kutengeneza murtabak kwa ajili ya biashara/futari
Na Aisha Lungato Alooooh! tulikubaliana kuwa mwendo ni ule ule wa kupeana tips za Ramadhani na leo nimewasogezea kitafunwa ambacho hakina mambo mengi, lakini ukila kwa ajili y...
02
Jinsi ya kupika futari ya mzinga wa nyuki kwa ajili ya biashara
Na Aisha Lungato   Ni matumaini yangu wazima wa afya, kama tulivyozungumza wiki iliyopita mwendo ni ule ule tunapeana ma-deal na tips za futari,  leo tumekuja na fut...
18
Vyakula unavyotakiwa kula wakati wa kufuturu
Mambo vipi watu wangu wa nguvu mwezi Machi umekuwa wa kipekee, swaumu zimetaradadi kila kona, bila kuwachosha mwezi huu mzima nitakusogezea tips mbalimbali za chakula, ambazo ...

Latest Post