03
Wasanii wa filamu Bongo watua Korea
Wasanii wa filamu Tanzania wamewasili Korea kwenye ziara yao ya kujifunza mambo ya filamu. Baadhi ya mastaa wa filamu ambao wapo kwenye ziara hiyo ni Irene Paul, Wema Sepetu, ...
10
Dereva auawa kwa kupigwa risasi ubalozini
Dereva auawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia na gari lake ndani ya ofisi za Ubalozi Mdogo wa China ,San Francisco siku ya jana Jumatatu. Wafanyikazi na wageni waliokuwepo ...
19
Sanjay Dutt kupewa ubalozi wa heshima Tanzania
Serikali ya Tanzania inamuandaa msanii wa filamu kutoka nchini India, Sanjay Dutt kuwa balozi wa heshima kutokana na mapenzi yake kwa nchi na kuwa na wafuasi wengi watakaoona ...
19
Rushayna atemwa ubarozi
Hatimae aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushayna ametemwa ubalozi wa kutangaza nywele na Kampuni ya Uuzaji Nywele Bandia (Wigs), ikumbukwe kuwa Rushayna alipata ubalozi huo, mar...
17
Watu wanne wauwawa, Nigeria
Watu wenye silaha kali nchini Nigeria wameshambulia msafara wa  magari ya Marekani siku ya jana jumanne katika jimbo la kusini mashariki mwa nchi hiyo eneo la Anambra. Po...
06
Zai wa kijiwe Nongwa alamba ubalozi
Alooooh kipo cha kujifunza kutoka kwa mwanadada maarufu anayefanya vichekesho hususani mambo yanayotokea uswahilini,hatimaye amepata ubalozi wa lotion ya kupaka inayoondoa nyw...
27
Balozi waufaransa nchini Bukinafaso arejea nyumbani
Hatua hiyo imetangazwa Siku moja baada ya Ufaransa kusema itaondoa Majeshi yake Nchini humo Machi 2023 Kumekuwa na uhusiano duni wa Kidiplomasia baina ya Mataifa hayo katika ...
31
Rwanda yaishutumu Kongo kwa kumfukuza balozi wake
Rwanda imemshutumu jirani yake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kuchochea wasiwasi baina yao baada ya Kongo hapo jana kumuagiza balozi wa Rwanda kuondoka nchini humo katik...
31
Billinass aweka wazi jinsia ya mwanae
Na Habiba Mohamed Aloooooooh! Baada ya kuficha kwa muda mrefu kuwa nandy hajajifungua mara hatotaja jinsia wala jina la mtoto, waswahili wenyewe wanasemaga ni maneno ya mimba ...
26
Masha apata Ubalozi wa sabuni
Msanii wa Tamthilia na video queen Masha maarufu kama Masha Love @mashalovietz ameingia kwenye mkataba wa miez Sita ya kuwa balozi(ambassador) wa sabuni za saffron za mwanadad...

Latest Post