23
Kipotoshi akubali matokeo baada ya kukosa tuzo usiku wa TCA
Usiku wa Tuzo za Tanzania Comedy Award uliofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Februari 22, 2025. Umejaa hisia tofauti kwani washindi walisherehekea mafanikio yao...
18
Dimpoz Kuirudisha Lebo Ya Pozi Kwa Pozi
Baada ya record lebo ya ‘Pozi Kwa Pozi’ (PKP) iliyokuwa chini ya msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz kufanya vizuri miaka ya 2016 ikiwa na msanii wake Nedy Music, h...
09
Baba Levo Akubali Kipaji Cha Rose Ndauka
Mwananmuziki na mtangazaji Baba Levo amekikubali kipaji cha msanii na mwigizaji Rose Ndauka huku akimtabiria kufika mbali zaidi.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Baba Levo amemp...
14
Diddy Akubali Kubaki Gerezani
Baada ya kuomba dhamana kwa takribani mara tatu bila mafanikio, hatimaye msanii wa Hip Hop Marekani Diddy Combs amekubali kubaki gerezani hadi pale kesi yake itakapoanza kusik...
21
Kazi za pamoja za wasanii hawa zinakubalika sana
Kuwa na muunganiko mzuri wa wasanii hufanya kazi zao kupendwa na kuwaletea mafanikio. Wengine hupenda kuita Duo ama Combo, wasanii hao wanakuwa sio kundi moja lakini mara zote...
08
Snoop Dogg ataja ma-rapa watatu anaowakubali
Msanii nguli wa muziki wa hiphop kutoka Marekani, Calvin Cordozar “Snoop Dogg amewataja ma-rapa anaowakubali muda wote akiwemo Ice Cube.Snoop ameachia listi hiyo ya mast...
19
Diddy agonga mwamba, mahakama yatupilia mbali rufaa ya kuomba tena dhamana
Mwanzoni mwa wiki hii, Diddy alikamatwa kufuatia miezi kadhaa ya kesi za madai na tuhuma nzito ambapo kwa mujibu wa tovuti ya TMZ,...
11
Marioo: Paula kakubali kubadili dini
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Marioo amefunguka ishu ya kufunga ndoa na mzazi mwenzie Paula Kajala, kwa kuweka wazi kuwafanya hivyo hivi karibuni kwani Paula amekubali kubadili d...
27
Ukikubali kuoa/kuolewa unalipwa zaidi ya Sh 102 Milioni
Ukiwa ni muendelezo wa kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini Korea Kusini, Wilaya ya Saha, Busan inampango wa kuwalipa wakazi wa eneo hilo watakao kubali kuchumbia...
24
Jamie Foxx aiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili
Mwigizaji kutoka Marekani Jamie Foxx ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa dhidi yake na mwanamke aliyemshutumu kwa unyanyasaji wa kijinsia.Kwa mujibu wa tovut...
10
Mahakama yatupa ombi la wosia mjane wa Mengi
Mahakama ya Rufani imetupilia mbali shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa na mjane wa Reginald Mengi, Jacquiline Ntuyabaliwe na wanawe wawili, ambao wamekuwa wakipambana...
13
Chris Brown amuonya Tigo Fariah
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Chris Brown amemtolea povu msanii Tigo Fariah anayedaiwa kuiga swaga zake na kujinadi kufanana na staa huyo. Tovuti mbalimbali zimeeleza ku...
09
Mwongozo madaraja ya muziki Tanzania
Kanuni na miongozo ni jambo muhimu kwenye sekta yoyote kwa lengo la kuepusha upotoshaji na uvunjwaji wa kanuni na sheria iliyowekwa. Nchini Tanzania kumekuwa na malalamiko kut...
08
Kayumba adai kudhulumiwa 1.8 milioni
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Kayumba Juma ameweka wazi juu ya mwendelezo wa sakata lake alilodai awali kudhulumiwa Sh 7 milioni na Director Elly Mzava, ambaye anafanya kazi na R...

Latest Post