07
CMB Prezzo adondoka na kukakamaa akifanyiwa mahojiano
Mwanamuziki wa Kenya CMB Prezzo, amekutana na changamoto ya kiafya iliyopelekea adondoke na kukakamaa mwili wakati akifanyiwa mahojiano kwenye uzinduzi wa 'reality show' ya ms...
22
Weka nguvu kwenye thamani yako
Umewahi kujiuliza kwa nini kuna watu wanaonekana wana thamani kubwa dhidi ya wengine, wanaweza wakawa wanafanya kazi pamoja, elimu sawa na wala hawajazidiana kiuchumi, lakini ...
03
Figo, Ini sababu kifo cha ex wa muigizaji Forest
Mke wa zamani wa muigizaji kutoka nchini Marekani Forest Whitaker, Keisha Nash Whitaker, alifariki kutokana na ugonjwa wa ini baada ya kuugua kwa miaka mingi. Kwa mujibu wa Tm...
29
Refa wa Mauritania kuzihukumu Al ahly na Yanga
Abdel Aziz Mohamed Bouh kutoka Mauritania, ndiye refa aliyepangwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ...
19
Bahati Kenya alia na Genius Jini x66 kufuta wimbo wake mpya
Msanii kutoka nchini Kenya, Bahati kupitia Instagram yake ame-share screenshoot kutoka katika mtandao wa YouTube ikionesha kuwa wimbo wake mpya wa 'Huyu' kuwa umefutwa kwa sab...
13
Diamond: Sijawa msanii kwa bahati mbaya, punguzeni uchambuzi
Baada ya baadhi ya watu kumsema vibaya Diamond kuhusiana na wimbo wake wa ‘Shu’ kuwa hautofika mbali wala kufanya vizuri, Simba ameendeleza mashambulizi kwa kutoli...
02
Harmonize : Bahati haiji mara mbili
Vita ya ma-ex wawili bado inaendelea, ambapo kwa upande wa Harmonize bado anatoa ya moyoni. Kupitia instastory yake ameshusha tena ujumbe ukisema “U can tell how walikuw...
30
Twaha Kiduku akiri kupokea kichapo
Bondia ambaye ni marachache sana kupoteza mchezo akiwa ulingoni,  Twaha Kiduku amekili kupokea kichapo kutoka kwa mpinzani wake, Asemale Wellem kutoka Afrika Kusini katik...
27
Raya: Sijaja kwenye maisha ya Barnaba kwa bahati mbaya
Raya ambaye ni mke wa mwanamuziki Barnaba Classic kupitia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari amefunguka na kueleza kuwa hakuingia kwenye maisha ya barnaba kwa kukurup...
26
Bahati: Nyimbo za Diamond zanafanya vizuri Kenya
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya #Bahatikenya amewajibu watu waliomjia juu kuhusu ujumbe wake aliyoandika hivi karibuni akizungumzia muziki wa Tanzania kupigwa na kupata mshabi...
16
Mahakama yaamuru mwanafunzi aliyefukuzwa kurudishwa chuoni
Baada ya kufukuzwa chuo kwa kosa la kufanyiwa mtihani na mwenzake, mwanafunzi washada ya kwanza ya sheria katika chuo cha Tumain Dar es salaam (TUDARCO) aliyefahamika kwa jina...
31
Fungua moyo bahati iingie, Mwana Fa
Na Habiba Mohammed Hellooow! Unaambiwa bwana kimya kingi kina mshindo mwanamziki pia mbunge  Mh. Hamis Mwinjuma  maarufu kama Mwana Fa, kupitia ukurasa wake wa Insta...
05
Shamsa Ford hana bahati ya kuhongwa
Wanasemaga usililie vingine, wewe lilia tu bahati!Basi bwana katika harakati za maisha za hapa na pale, Star Wa Filamu Bongo 🇹🇿 anayejulikana kama Shamsa Ford amese...

Latest Post