08
Mtoto wa Lil Durk adaiwa kumpiga risasa baba yake wa kambo
Mtoto wa kiume wa rapa kutoka nchini Marekani, #LilDurk, Romeo (10) anadaiwa kumpiga risasi baba yake wa kambo, kwa ajili ya kumtetea mama yake wakati wa mzozo. Kwa mujibu wa ...
28
Doja Cat amtolea maneno machafu baba yake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Doja Cat ameripotiwa kumtolea maneno machafu baba yake mzazi hii ni baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mzee wake huyo.Kupitia ukurasa...
08
Baba yake Davido atia neno, mwanaye kukosa Grammy
Baada ya kushindwa kunyakuwa tuzo yoyote katika vipendele vitatu alivyoteuliwa na Grammy mkali wa Afrobeat Davido ameeleza kuwa licha ya kukosa Tuzo hizo baba yake mzazi Adede...
16
Baba yake Drake aruhusiwa kurudi Canada
Baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Drake, #DennisGraham,ameruhusiwa kurudi nchini Canada baada ya kumaliza adhabu yake. Kupitia #Instastory ya ‘rapa’ huyo...
11
Baba yake Mohbad adai kutishiwa maisha na mkwewe
Baba wa marehemu mwanamuziki Mohbad kutoka nchini Nigeria kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameeleza kuwa aliyekuwa mke wa Mohbad, Wunmi na wakili wake wanatishia kumuua...
12
Nisher afariki dunia
Muongozaji video za muziki wa Bongo Fleva Nic Davie maarufu kama Nisher amefariki dunia usiku wa kuamkia  leo Disemba  12. Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na ba...
10
Baba yake Drake apambana na wanaomchukia mwanaye
Dennis Graham, ambaye ni baba mzazi wa mwanamuziki Drake awajua juu wanaomchukia na kumkosoa mwanaye. Katika kuonesha hasira zake juu ya wanaomchukua mwanaye baba huyo amedai ...
06
Mtoto wa Drake ahusika kwenye albamu ya baba yake
Baada ya kusubiriwa kwa hamu ‘listi’ ya ngoma za kwenye albamu ya ‘rapa’ kutoka nchini Canada, Drake hatimaye mkeka huo umeachiwa na kutangazwa kuingia...
26
Kerry afahamu anayeishi naye si baba yake mzazi akiwa na miaka 41
Muigizaji Kerry Washington mwenye umri wa miaka 46 afunguka kufahamu ukubwani kuwa baba anayeishi naye siyo baba yake mzazi. Kerry amedai kuwa aligundua hilo mwaka 2018 baada ...
30
Mtoto wa Michael Jackson afichua siri, Sababu za kupuuza Birthday ya baba yake
Mtoto wa muimbaji marehemu Michael Jackson, anayefahamika kama Paris Jackson amefichua sababu ya kuto-post picha ya baba yake kumt...
28
Mwanamuziki dayoo aeleza kupotezana na baba yake, Safari ya kumtafuta, Ugumu wa maisha, Mafanikio ya muziki wake
Nisikuchoshe wala nisijichoshe burudani imepata waburudishaji na waburudikaji, week hii tupo na Mangi haha ukisikia naitwa “...
22
Sholo Mwamba: Inaniumiza Mama yangu simjui
Mwanamuziki wa nyimbo za #Singeli #SholoMwamba amesema kitu ambacho kinamuumiza kila siku kwenye maisha yake ni kutomfahamu mama yake mzazi. Amedai kuwa mama yake alifariki wa...
21
Gigy : Nitambatiza mwanangu, Baba yake haeleweki
Mwanamuziki #Gigy Money akiwa kwenye mahojiano na moja ya chombo cha habari nchini anadai kuwa week ijayo amepanga kwenda kumbatiza mtoto wake kutokana na baba mtoto kumkalia ...
09
Kajala: Sijawahi kumfanyia ubaya wowote Anjella
Mwigizaji maarufu nchini Kajala amedai alimshauri Harmonize amuachie gari aliyekuwa msanii wa Konde Gang Anjella, alipokuwa akiondoka kwenye Label hiyo, Kajala amedai kuwa ali...

Latest Post