01
Amazing things your phone can do
Surprise!!! Mambo vipi? Kila mtu ana matumizi yake binafsi kwenye simu yake au siyo bhana? je una fahamu uwezo wa simu yako ulivyo mkubwa, maybe kuliko hata ulivyodhania? Leo ...
01
VISA NA MIKASA: Sitakaa nimsahau mwanamke yule
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1990, nililetwa na mjomba wangu kuja Dar baada ya kusota kijijini kwa ajili ya kuzungumza na mzee mmoja ambaye alikuwa anahitaji kijana wa kumsaidia...
01
Namna ya kutumia teknolojia kujitengenezea kazi
Ungemuambia mtu yeyote wa zamani kama ikifika baada ya miaka kadhaa tutakuwa na uwezo wa kuwasiliana na ndugu zetu kupitia mfumo wa video, wangeweza kusema kuwa unaota, tena n...
31
Mummy Huki na Biashara ya Urembo
Na Aisha Lungato Katika maisha kuna kile kitu ambacho binadamu hukipendelea zaidi. Wadada wengi kama ilivyo ada hupendelea zaidi urembo, nikizungumzia urembo na maanisha kuwa ...
31
Wanawake Wanapokuwa na maswali magumu kwa wenza
Na Shaban Kaluse Wanawake ni watu wenye utambuzi wa hali ya juu sana kwenye suala zima la mapenzi. Unaweza kusema neno moja tu na kupitia neno hilo wakajua kwa usahihi kabisa ...
31
Mtazame mtu mwenye kinywa kikubwa duniani
Miongoni mwa mambo ya kushangaza zaidi hili nalo lipo la mwanamke, Samantha Ramsdell kushikilia rekodi ya kitabu cha kumbukumbu za dunia cha Guinness kwa kuwa na kinywa kikubw...
31
Chris Brown ampa dongo Kanye West
Ohooo Star wa muziki nchini Marekani Chris brown kupitia ukurasa wake wa Instagram kwenye Insta-story ameandika ujumbe wenye utata kwa Kanye West uliotafsiriwa kuwa ni Dongo k...
31
Justin Bieber avunja rekodi
Huko mitandaoni unaambiwa kuwa msanii kutokea nchini Marekani, Justin Bieber amevunja rekodi ya muda wote iliyokuwa ikishikiliwa na msanii Ariana Grande katika mtandao wa Spot...
31
Atham: kazi yangu pambano langu la kwanza
Ebwana eeeh!!! kila moja kwenye haya maisha huwa anamipango yake na anagombania goli kupitia malengo aliyojiwekea kichwani mwake katika safari nzima ya kutengeneza maisha yake...
30
Manara apata ajali
Moja kati ya story zinazobamba katika mitandao ya kijamii ni ya Msemaji wa Yanga, Haji Manara ambaye amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari usiku wa kuamkia leo ...
27
Quick Rocka inspiring young artists
“Keep working, keep doing what you doing, keep showing up, don’t be disappointed, get up, learn a new thing, interact with others, always bahati na kipato iko kwen...
27
Fahamu mambo yanayogusa moyo wa mwanamke
Sasa hivi jamani wanaume wengi wanaamini kuwa wanawake, kwa kawaida wanapenda pesa na si kitu kingine. Heti wanasema kwamba ukiweza kuhakikisha mwanamke wako anaweza kupata fe...
27
Zijue dalili za mtu mwenye lishe duni
Jamani eeeeeee!!!!!! mwenzenu mimi napenda sana kula, tena chakula kizuri kilichoenda shule watoto wa mjini tunasema. Hata wewe kijana mwenzangu uliopo chuoni najua unapenda k...
27
Faida za kufanya mazoezi ya viungo
Eeebwana eeeh!!!! Unajua kuwa mazoezi ya viungo ni muhimu sana kwa afya yako, ndio ni muhimu na mimi leo nitakujuza zaida kwa nini ni muhimu. Kabla ya kukueleza faida hizo jua...

Latest Post