10
Usijizeeshe kwa vipozi visivyofaa
Habari msomaji wa fashion, ni wiki nyingine tena tunakutaka hapa ni kiamini kuwa u mzima wa afya tele na unaendelea na masomo pamoja na majukumu yako ya kulijenga taifa hili. ...
10
Rapa chipukizi Stylee( NIT)
It’s  Friday bhana kama kawaida siku hii huwa tunaruka na zile makala zote za michezo na burudani hususani kwa wasanii chipukizi kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini....
10
Mashabiki wamjia juu Wema Sepetu
Baadhi ya mashabiki wa staa wa filamu nchini, Wema Sepetu wamemjia juu msanii huyo baada ya kufunguka kuwa anapendwa kupiga hasa na mpenzi wake. Wema amepokea makombora makali...
09
Zijue Faida za kufanya Mapenzi Kiafya
Ee bwana mara nyingi vijana wengi huingia katika mahusiano na baadae hujihusisha na kitendo cha kujamiana bila kujua jambo hilo lina faida gani kiafya. Leo katika makala ya af...
09
Jux afunguka ujauzito wa Vanessa
Leo huko mitandaoni kimeumana, unaambiwa mwanamuziki nchini Tanzania, Juma Mkambala maarufu kama Jux ametoa nyimbo na kumpatia hongera aliyekuwa mpenzi wake, Vanessa Mdee kwa ...
10
Rihanna apotezea mashtaka dhidi ya baba yake
Ebwana eeh nikwambie tu kilichojiri kutoka kwa muimbaji na muigizaji Rihanna bwana ameripotiwa kuachilia mashtaka dhidi ya baba yake mzazi, Rondald Fenty juu ya madai ya kutum...
09
Yule Daktari akaniharibia kwa Wife
  Hatukuwa na vita kali sana na mke wangu, isipokuwa tatizo lake lilikuwa tukikorofishana kidogo zinaweza zikapita wiki mbili hadi tano anazira kuzungumza nami. kwa ...
09
Step by Step : Starting Your Own Podcast
Na Tanzania tech Ni wazi kuwa kwa sasa watu hutumia mtandao zaidi kuliko kipindi cha nyuma, hii inatokana na kukuwa na kubadilika kwa njia za mawasiliano. Kuliona hili leo nin...
09
Mbinu za Kudhibiti Smartphone yako
  Mpooo!!!? Alaaaah!Ni wiki nyingine tena ndani ya kipengele chako cha kibabe cha Smartphone karibu kwenye ukurasa huu bhana kama kawa kama dawa leo nakuletea namna utaka...
08
Chanzo Kifo cha Michael K Williams Chatajwa
   Usiku wa kuamkia jana ilitokea taarifa mbaya kwa wapenzi wa filamu kutoka nchini Mrekani baada ya taarifa kusambaa zikidai kuwa mwigizaji Michael K Williams ameku...
08
Vanessa, Rotimi watarajia mtoto wa kiume
  Moja kati ya story iliyobamba katika mitandao ya kijamii kwa siku ya jana na leo ni ya mwimbaji Staa kutoka Tanzania anayeishi Atlanta Marekani Vanessa Mdee. Vanessa ja...
08
Gloritha Sulle: Mwanafunzi anayeagiza bidhaa nje ya nchi
Na Aisha Lungato Miaka ya hivi karibuni kumezuka biashara nyingi ambazo zinafanywa na watu wa kila rika na kila jinsia. Licha ya kwamba biashara huwa haiaminiki lakini bado ku...
07
Rose Ndauka, sifanyi muziki kwa njaa
Ahh!! Weweee!! Star wa Filamu nchini Tanzania Rose Ndauka ambaye pia anafanya Muziki wa Hip Hop amesema kuwa yeye hafanyi Muziki wake kwa Njaaa. Akitoa sababu ya kuzungumza ka...
07
Michael K William afariki dunia
Moja ya stori zilizo huzunisha wengi kupitia mitandao ya kijamii hususani Instagram ni muigizaji wa marekani Michael K Williams kufariki dunia akiwa nyumbani kwake huko New Yo...

Latest Post