21
Bondia Manny Pacquiao atangaza kuwania Urais
Bondia maarufu kutoka Ufilipino Manny Pacquiao ametangaza rasmi kuwa atagombea Urais wa Nchi hiyo kwenye Uchaguzi wa Mwakani huku akisema atahakikisha anat...
21
Tory Lanez amtaka Rick Ross ampatie gari alilomuahidi
Unaambiwa unapoahidi jambo bwana basi  hakikisha unalitimiza kwani siku zote ahadi ni deni, hili limemkuta Rapa Rick Ross ambaye alimuahidi Rapa mwenzie Tory Lanez zawadi...
20
CCM yashusha maelekezo mazito bandari ya Mtwara
  KATIBU wa Halmashuri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ametoa maagizo kwa Uongozi wa Bandari ya Mtwara ikiwemo kuhakikisha bandari hiyo kuanza kutoa...
20
Man Crush Monday Mellomarsh49
NAME: JOVIN  JUSTIN a.k.a MELLOMARSH49 UNIVERSITY:   University Of Dar Es Salaam (UDSM) POSITION:   STUDENT COURSE:   JOURNALISM YEAR OF STU...
20
Mambo 6 ya kufanya ili kuwa bora zaidi
Ni siku nyingine tena Jumatatu tulivu kabisa tunakutana kujuzana mambo mbalimbali ambayo najua wewe mwanafunzi yanaweza kukusaidia hao ulipo chuoni. Basi leo karibu nikufahami...
17
Slimsuma msanii anayeishi kwenye ndoto zake
It’s another Friday ndani ya makala za michezo na burudani bwana, wiki hii tunachonga naye Ismail Nassir maarufu kama Slimsuma, kijana ambaye anajihusisha na muziki kiza...
17
Madhara ya kuvaa Viatu virefu
Niaje, wanangu!Leo katika urembo na fashion utaweza kujifunza kuhusu madhara ya kuvaa mchuchumio’ ama viatu vyenye  visigino virefu. Viatu virefu ni mojaw...
17
Davido avunja rekodi Apple music
Star wa muziki Nchini Nigeria, David Adeleke maarufu kama Davido amevunja rekodi katika mtandao wa kuskiliza muziki wa Apple music kwa mwaka huu 2021. Davido kupitia mtandao h...
17
Mtoto wa Wolper gumzo mitandaoni
Eee bwana mtu wangu wa nguvu leo kwenye gumzo mitandaoni moja ya stori iliyobamba ni ya mtoti wa Star wa filamu na mkali wa fashion stylist nchini Tanzania, Jacqueline Wolper ...
17
FCC yakamata Bidhaa feki soko la Kariakoo
Tume ya Ushindani (FCC) kwa kushiriki na Jeshi la Polisi nchini imekamata bidhaa feki zikiwemo za rungu max zenye thamani ya zaidi ya Milioni mbili, katika operesheni ya kusht...
16
Dan Sur afanya upasuaji kuondoa nywele kichwani
Huku mitandaoni ni gumzo baada ya Rapa kutokea Mexico, Dan Sur kutangaza kufanyiwa upasuaji na kuondolewa nywele zake kichwani na kuwekewa cheni za dhahabu. Dan Sur anasema al...
16
unaikumbuka Yahaya ya Lady Jaydee
Uko powa mwanangu sana leo kwenye Throwback Thusday (TBT) tumekuletea mwanadada shupavu na kipenzi cha wengi na huyu si mwingine ni Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee. Ms...
16
Jinsi ya kuzuia matangazo kwenye simu za android
Aisee!!! limekuwa jambo la karaha na wakati mwingine kufedhehesha pale unapoperuzi ukijaribu kutafuta hiki na kile mtandaoni au umefungua app fulani na ghafla tu unaona tangaz...
15
Mama mzazi wa Ronaldo atokwa machozi
Mama yake mzazi na mchezaji bora kabisa duniani, Cristiano Ronaldo mwishoni mwa juma alishindwa kuzuia hisia zake na kujikuta akibubujikwa na machozi mbele ya kadamnasi pale a...

Latest Post