07
Yule Shangingi akanichuna kifedhuli..!
Ilikuwa ni siku ya Jumamosi, na ndio nilikuwa nimetoka Benki kuchukua mshahara wangu wa kwanza baada ya kusota kwa takriban mwaka mmoja bila ajira. Kwa mwaka huo mmoja nilioku...
06
Fanya hivi kama simu yako imeingia kwenye maji
Niaje mtu wangu wa faida leo ni jumatano ya Smartphone nataka kuchonga na wewe jambo hapa unaweza ukawa mwangalifu sana ila, bahati mbaya inatokea na simu zetu zinaingia maji....
06
Linex ampa makavu Baba Levo
Mambo ni moto mambo ni fire leo kwenye gumzo mitamdaoni bwana kumewaka, Staa wa muziki nchini Tanzania Linex Sunday maarufu kama Mjeda amemtolea uvivu msanii mwenzie  Bab...
06
Nyimbo za Otile Brown zafutwa Youtube
Na Aisha Lungato I hope uko good mwanangu sana, leo bwana kwenye gumzo mitandaoni waswahili wanasema kimeumaa, staa wa muziki kutoka nchini kenya Jacob Obunga maarufu kama Oti...
05
Grace Gumanga: Biashara ya vipodozi inaikomboa familia yangu
Na Aisha Lungato Ni Jumanne nyingine tena tunakutana nikiwa na matumaini makubwa kuwa uko poua mwanangu mwenyewe unayefuatili jarida hlili la Mwananchiscoop. Siku kama ya leo ...
05
Jinsi ya kupika kaimati/kalimati
Habari, uko pouwa wewe nikwambie tu leo kwenye Nipe Dili bhana nakuletea jinsi ya kupika Kaimati au Kalimati za sukari,  naamin utaipenda hii ungana name ili uweze kujifu...
05
Afunga ndoa na rice cooker
Na Aisha Lungato Eeeeeh bwana weeee waswahili wanasema ukistaajabu ya mussa utayaona ya filauni wewe ukiihangaika kutafta mahari kwenda kumuoa binti fulani wenzako wanafanya u...
05
Faiza Ally: bado nampenda Sugu
Moja ya kati ya story inayobamba katika mitandao ya kijamii ni ya mwanadada Faiza Ally ambaye amefunguka na kusema kuwa bado anampenda mzazi mwenzake Joseph Mbilinyi maarufu k...
05
Gigy Money: wanaofanya surgery hawajiamini
Msanii wa bongo fleva Gigy Money amefunguka na kusema kuwa watu wanaokwenda nje na kufanya surgery ni moja ya tatizo la kutjiamini na jinsi Mungu alivyokuumba. Gigy ametoa kau...
05
Mr Focus kutoka kuimba hadi kufanya kazi ya life couch
Nikwambie tu zama zimebadilika sana kijana mwenzangu! wakati tulionao sasa kama  ili uweze kutoboa lazima uangalie tofauti na elimu yako je unakitu gani cha ziada?. It&rs...
04
MCM, Erick Mfanga
 MAN CRUSH MONDAY(MCM) Name: Erick Mfanga University: University of Dar Es Salaam(UDSM) Position:  Student Course: Bachelor of Arts in Economics Year of study: secon...
04
Nikki wa Pili, Jikubali jinsi ulivyo
Msanii wa bongo fleva ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Nikki wa Pili amewataka watu kujikubali vile walivyo na kuhakikisha wanajiongeza kila siku kwa sababu hakuna mk...
04
Kanye West na Kim Kardashian wadaiwa kurudiana
Katika hali isiyo ya kawaida Rapa kutokea nchini Marekani Kanye West na mzazi mwenzake Kim Kardashian unambiwa ni kama wamevuka mipaka ya urafiki wao na uwenda kama wamerudian...
04
Cleyton Msosa kijana anayefanya sanaa ya uchekeshaji
Siku zote juhudi, kupenda kitu unachokifanya, kujua kwanini unafanya hicho kitu, na wapi unatamani kufika basi nikwambie tu  kuwa hizo  ndiyo njia ambazo ukizitilia ...

Latest Post