04
Post Malone atarajia kupata mtoto wa kwanza
Moja ya story huko mitandaoni ni hii ya Rapa kutokea pande za Marekani, Post Malone amefunguka kwamba anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza. Post Malone ameuambia mtandao wa ...
04
Drake asaini dili la Bilioni 928
Ukisia nimepata mchongo ndo huu wa Msanii Drake ambaye amesaini dili na Universal Music Group (UMG) ambalo linaripotiwa kuwa na thamani ya Sh. Bilioni 928. Hata hivyo inakumbu...
03
Mwanamke Unatoka mtoko wa kwanza unakutana na karaha hizi….!
Mtoko wa kwanza huwa unawaweka wanawake katika wakati mgumu ukilinganisha na wanaume. Wakati wanaume kwao sio tatizo kubwa la kuwa...
03
Paschalia Anselimo (TUDARCo): Biashara mitandaoni fursa mpya kwa vijana
Kwa sasa barani Afrika na duniani kwa ujumla kuna ukuaji mkubwa wa biashara hasa za mitandaoni na inaonekana kuwa fursa kwa vijana...
03
Maua Sama atengeneza nyimbo ya DK 23
Unaambiwa kwamba hakuna linashindikana ukiamua ndivyo inajidhihirisha kwa msanii wa muziki nchini Maua Sama ambaye amesema kwamba kuna ngoma amerekodi ina dakika takribani 23 ...
03
Dullah Mbabe kuzichapa leo Tunduru
Mambo ni moto huku wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwani Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi 'Dullah Mbabe' amewasili tayari kwa ajili ya pambano lake maalum la Ki...
03
McM KASIMU HARUNA
MCM Name: KASIMU HARUNA University: University of Dar es Salaam (UDSM) Position: Student &Chairperson SJMC Course: Bachelor of Arts in Public Relations and Advertising Yea...
03
Simulizi: Sehemu ya tatu (3) Kwa Udi na Uvumba...!
Sehemu o3 Daladala la Mwananyamala lilipofika Hilda alipanda, Panja naye hakubaki nyuma, akajitoma garini. Bado alikuwa ni mwanamume wa ‘kutesa.’ Alipoingia ndani ...
03
Mejakunta: Hakuna msanii wa singeli anayenifikia
Msanii wa Singeli hapa nchini, Mejakunta ametamba na kusema kuwa kwa sasa hakuna msanii wa miondoko hiyo ya Singeli anayemfikia kwa namba katika mtandao wa YouTube. Mejakunta ...
03
Mashabiki wamtunza sidiria Burna Boy
Moja ya story inayotrend bado katika mitandao ya kijamii ni hii ya The African Giant Burna Boy ambaye mashabiki wa kike Jijini New York nchini Marekani walimtunza zawadi ya si...
29
Wakali wa Hip Hop kutoka chuo cha Udom
Unaambiwa siku zote bwana Nabii hakubaliki kwao  hahaha aisee huu msemo bwana unaniachagahoi sana lakini leo nakuletea Nabii ambaye ankubalika na watu wanamuelewa kinyama...
29
Rema
Na Aisha Lungato  Name; Divine Ikubor Birthday; May,1 Kazi; Musician  Divine Ikubor also know as Rema is a Nigerian singer and Rapper Rema alipata umaarufu kufupitia...
29
Romy Jons Asilimia 99 Ep yake
Ebwana eeh!! baada ya siku kadhaa Romy Jons kutangaza kuachia Ep yake mpya aliyoipa jina la The weekend ambayo inatarajiwa kuachiwa wiki hii kaka wa msanii huyo Diam...
29
Simulizi: Sehemu ya pili Kwa Udi na Uvumba
Na Innocent Ndayanse SIKU Panja alipotoka gerezani, fikra zake zote zilikuwa juu ya Kipanga. Hakuchukua zaidi ya nusu saa nyumbani, Kinondoni ‘A’ jirani na Kanisa ...

Latest Post