11
Jason Derulo anaamini Diddy hana hatia
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia. Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
11
Sita wakamatwa mauji ya beki wa Kaizer Chiefs
Watu sita wanadaiwa kuhusika katika kifo cha aliyekuwa mchezaji wa ‘klabu’ ya #KaizerChiefs, #LukeFleurs wamekamatwa na Polisi nchini Afrika Kusini jana Jumatano A...
26
Chini ya miaka 16 wapigwa marufuku kujihusisha na mitandao
Gavana wa mji wa Florida, nchini Marekani #RonDeSantis ametia saini mswaada wa sheria ya mitandao ya kijamii nchini humo jana Jumatatu kupiga marufuku watoto walio chini ya um...
16
Kupiga picha wahanga wa ajali faini milioni 100
Nchini Dubai ukipiga picha watu waliojeruhiwa au miili ya watu waliofariki katika ajali ni kosa linaloweza kusababisha kifungo cha miezi sita jela na faini ya tsh 100 milioni,...
13
Meek Miil: Wasanii wanaandika nyimbo wakiwa na mizuka
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #MeekMill amesema wasanii wanapokuwa studio huandaa nyimbo zao kwa vibe, ni baada ya kutokubaliana na ushahidi wa mistari ya nyimbo z...
04
Kwa mara ya kwanza video ya mauaji ya Tupac yaoneshwa
Kufuatia tukio ya kukamatwa kwa rafiki wa aliyekuwa mwanamuziki Tupac, hatimaye kwa mara ya kwanza ushahidi wa tukio hilo umeweza kuoneshwa. Picha ambazo hazijawahi kuonekana ...
02
Waziri apigwa risasi na mlinzi wake.
Waziri wa kazi, Ajira na uhusiano wa viwanda Nchini Uganda, Charles Okello Engola ameuawa asubuhi hii kwa kupigwa risasi na Mlinzi wake. Spika wa Bunge nchini humo Anitha Amon...

Latest Post