08
Chidimma ajiondoa kwenye mashindano ya Miss S.A
Baada ya kuzuka tetesi kuwa mwanamitindo Chidimma Adetshina (23) anayeshiriki ‘Miss Afrika Kusini’ kubaguliwa kwenye shindano, kwa madai ya kuwa ni raia wa Nigeria...
12
Shindano la kumpata mtu muongo zaidi duniani
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakikemea vikali tabia ya kusema uongo, fahamu kuwa kila mwaka ifikapo Novemba, katika mji wa Santon, Uingereza,...
10
Madrid yagoma kumtoa Arda Guler
‘Klabu’ ya #RealMadrid imekataa ofa kwa ‘klabu’ zinazomuhitaji mchezaji wao Arda Guler, wakisisitiza kuwa bado wanamatumizi naye hivyo hataruhusiwa kuo...
29
Mtoto wa miaka 2 awashangaza majaji shindano la AGT
Tazama mtoto wa miaka 2 aitwaye #Devan akionesha ufundi wake kwenye somo la hisabati katika shindano ya kusaka vipaji la America's Got Talent linaloendelea nchini&nb...
03
Miss Universe yakanusha uwepo wa miss Saudia
Wakati Miss Saudi Arabia mwaka 2021, Rumy Alqahtani akitangaza kushiriki katika mashindano ya urembo ya dunia ya Miss Universe, waandaaji hao wamekanusha kuwepo kwa mwanamitin...
28
Saudi Arabia yatangaza kushiriki miss universe 2024 kwa mara ya kwanza
Kwa mara ya kwanza katika historia Saudi Arabia imeripotiwa kushiriki katika shindano la Miss Universe 2024, ikiwakilishwa na Miss...
21
Huu ni muda wa miss world kuleta taji Afrika
Msimu wa 71 wa shindano la kumpata mlimbwende wa dunia (Miss World) ulianza rasmi Februari 18, 2024, na utaendelea kwa siku 21 na kufikia tamati Machi 9 nchini India. Washirik...
06
Miss Japan arudisha taji baada kugundulika ana uhusiano na mume wa mtu
Mwanamitindo maarufu kutoka nchini Japani, Karolina Shiino, mzaliwa wa Ukraine ambaye alishinda taji la Miss Japan mwezi uliopita,...
05
Fainali kombe la dunia 2026, Kufanyikia New Jersey
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa fainali ya Kombe la Dunia la 2026 itafanyika kwenye Uwanja wa #MetLife  unaochukua mashabiki 82,500 katika mji wa East ...
22
Mo Salah arudi kambini
Mchezaji wa ‘timu’ ya #Livepool na ’timu’ ya taifa #Misri #Mosalah amerudi kambi ya Liverpool baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja kwenye mchezo ...
09
Hilda Baci: Nitabaki kuwa mmiliki wa rekodi
Ikiwa zimepita siku chache tangu ‘rekodi’ ya mpishi maarufu kutoka Nigeria Hilda kuvunjwa amedai kuwa kwenye roho yake na historia atabaki kuwa mmiliki wa rekodi h...
16
Yafahamu mashindano ya wanaume kubeba wake zao, Zawadi bia
Inafahamika kuwa ulimwenguni kumekuwa na mashindano ya aina nyingi ambayo hufanyika kwa lengo la kuburudisha washindani na watazamaji. Wakati baadhi ya watu wakiwa wanaupenda ...
04
Daktari ashinda shindano la urembo ambalo walikatazwa kutumia make-up
Mrembo Natasha Beresford mwenye umri wa miaka 26 ambaye pia ni mtaalam wa meno ameshinda shindano la urembo la Miss London 2023 am...
19
Hamisi wa bss kwenye penzi na Mzungu
Mwanamuziki Hamisi aliyefahamika kupitia shindano maarufu la kusaka vipaji nchini Bongo Star Search ame-share picha akiwa na mdada wa kigeni wakiwa katika kumbato na kuisindik...

Latest Post