05
Kimenuka Tena Kundi La P-Square
Mwanamuziki wa Nigeria Paul Okoye ‘RudeBoy’ wa P-Square amesema pacha wake Peter ‘Mr P', ndiye aliyehusika kumuweka gerezani kaka yao mkubwa Jude Okoye. Aliy...
20
Sababu Wanasoka Kupendelea Kuoa Wanamitindo
Kwenye ulimwengu wa mapenzi, inaonekana nyota wengi wa mpira wa miguu wanavutiwa zaidi na wanamitindo. Na hii siyo tu kwa Aziz Ki ambaye Februari 16, 2025 alifunga ndoa na mwa...
02
Utafiti: Wanaume wenye ndevu ni waaminifu
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa katika jarida la ‘Archives of Behavior’ umebaini kuwa wanaume wenye ndevu ni waaminifu huku wakiripotiwa kudumu kwenye mahusian...
09
P Square wahamishia ugomvi wao kwenye nyimbo
Baada ya kutifuana kwa miezi kadhaa katika mitandao ya kijamii wanamuziki kutoka Nigeria ambao pia ni mapasha Peter na Poul Okoye waliounda kundi la Psquare sasa wamehamishia ...
06
Huyu ndiye ataiwakilisha TZ kwenye Miss Universe
Mwanamitindo Judith Peter anatarajia kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss Universe 2024 yanayotarajia kufanyika nchini Mexico.Mshindi huyo wa Miss Universe Tanzania...
07
Hili hapa chimbuko la jina Chaz Baba
Mwanamuziki wa Dansi nchini Charles Gabriel Mbwana 'Chaz Baba' amefunguka kuwa jina analotumia sasa ambalo watu wanalitambua alipewa na aliyewahi kuwa mwanamuziki nyota wa dan...
14
Mwanasiasa Peter Obi atajwa kuingilia kati ugomvi wa P-square
Mwanasiasa kutoka nchini Nigeria, Peter Obi ameripotiwa kuingilia kati ugomvi wa wanamuziki Paul na pacha wake Peter Okoye, hii ni baada ya kuonekana nyumbani kwa RudeBoy siku...
12
Mr P atuma barua ya wazi kwa Rudeboy
Nyota wa muziki Nigeria, Peter Okoye ‘Mr P’ wa kundi maarufu la muziki la ‘Psquare’ ameandika barua ya wazi kwa pacha wake Paul Okoye ‘Rudeboy&rs...
08
Peter Okoye avunja ukimya, awataka mashabiki kuwa na subira
Baada ya mwanamuziki kutoka Nigeria, Paul Nonso Okoye ‘Rudeboy’ kuweka wazi kuwa kundi la P-Square limesambaratika kwa mara nyingine, kwa upande wa Peter Okoye, &l...
06
Rudeboy aendelea kutikisa, amnawa mwanasiasa Joe Igbokwe
Mwanamuziki wa Nigeria Rudeboy amemnawa mwanasiasa kutoka chama cha ‘All Progressives Congress’ Joe Igbokwe kutokana na maoni yake kuhusu ugomvi kati ya msanii huy...
30
Msechu awanyooshea kidole wasanii wanaoimba mapenzi
Balozi wa mazingira nchini, Peter Msechu amesema wasanii wengi wamekuwa wakitunga na kuimba nyimbo nyingi zinazohusu mapenzi badala ya kuimba mambo ya msingi yenye maslahi kwa...
16
Peter wa P-square apandikizwa nywele Uturuki
Mwanamuziki kutoka Nigeria Peter Okoye a.k.a Mr P ameweka wazi kuwa amefanyiwa upasuaji wa kupandikizwa nywele uliyofanyika jijini Istanbul, nchini Uturuki.Kufuatia na video i...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
16
Kutana na Lammer mlemavu aliyekataa kustaafu kazi
Chef Peter Lammer ni mpishi maarufu kutoka nchini Ujerumani ambaye alipata ajali ya pikipiki mwaka 2010 akiwa na umri wa miaka 44 ambapo baada ya kupatiwa matibabu ya muda mre...

Latest Post