19
Kinda wa Uturuki arda avunja rekodi ya Cr7
Kinda wa Uturuki Arda Guler amevunja rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye ‘mechi’ yake ya kwanza kwenye mikikiki...
08
Jesse atimkia Korea, Asaini miaka miwili
Mwanasoka kutoka nchini England, aliyewahi kucheza ‘klabu’ ya #ManchesterUnited #JesseLingard ame-saini mkataba wa mika miwili katika ‘klabu’ ya #FCSeo...
04
Baada ya miaka miwili Bieber aonekana jukwaani
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #JustinBieber amefanya onesho lake la kwanza baada ya miaka miwili kuwa kimya bila kuoneka kwenye majukwaa. Justin alipanda kujwaani usikuwa...
31
Stephen Curry anavyoupiga mwingi kupata fursa, Kupitia mpira wa kikapu
Na Aisha Charles Naam! watu wangu kwa mara nyingine tena katika burudani tumekutana kupashana habari zinazobamba kwenye upande huu...
16
Jose Mourinho atimuliwa kisa matokeo mabaya
‘Klabu’ ya #ASRoma wamemfuta kazi aliyekuwa ‘kocha’ wa ‘timu’ hiyo #JoseMourinho, baada ya kufungwa bao 3-1 na ‘klabu’ ya ...
09
Baada ya miaka miwili mke wa Momoa adai talaka
Mke wa muigizaji kutoka nchini Marekani #JasonMomoa, #LisaBonet ameomba talaka baada ya miaka miwili ya kutangaza kuachana.  Katika miaka miwili hiyo tangu watengane bila...
25
Muigizaji Richard afariki kwa saratani
Muigizaji kutoka nchini Marekani, #RichardRoundtree mwenye umri wa miaka 81 amefariki dunia, baada ya kuugua saratani ya kongosho iliyogundulika miezi miwili iliyopita. Kwa mu...
17
Diamond afichua siri ya kufanya kazi na Koffi
Si mara ya kwanza msanii Diamond kuonekana katika wimbo mmoja na mkali kutoka nchini Congo, Koffi Olomide, miaka miwili iliyopita wawili hao walifanya wimbo walioupa jina la &...
01
Manara: kwaheri Fiston Bugati Mayele
Baada ya wachezaji na baadhi ya viongozi kumtakia kheri mchezaji Fiston Mayele, hatimaye aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya #Yanga Haji Manara naye ametoa baraka zake...
19
Rick Ross ampokea Messi kwa mikono miwili jijini Miami
Msanii wa #HipHop nchini Marekani, Rick Ross amkaribisha mshambuliaji wa ‘klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi Jijini Miami, ambapo alitambulishwa hivi karibuni na ...
22
Mifuko ya hifadhi ya jamii yapewa miezi miwili kulipa madeni
Ikiwa ni Siku moja tangu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, kuitaka Serikali kuwawajibisha Waajiri wanaoshindwa kuwasilisha Michango pamoja na Mifuko kutolipa madeni ya Wanach...
21
BREAKING NEWS: Manara OUT miaka miwili
Msemaji Mkuu wa klabu ya Young Africans (YANGA), Haji Manara amefungiwa kufanya shughuli za michezo nchini na nje ya nchi kwa miaka miwili, ikiambatana na faini ya shilingi mi...

Latest Post