14
Alikiba afunguka mipango ya kuupeleka muziki wake Kimataifa
Mwanamuziki Ali Saleh Kiba, maarufu Alikiba amefunguka kuhusiana na plani zake za kuupeleka muziki wake Kimataifa kama wasanii wengine kwa kuweka wazi kuwa anamipango wa kufan...
10
Kukonda kwa Bautista kwageuka gumzo
Mwonekano mpya wa mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista umewapa wasiwasi mashabiki, baada ya picha yake kusambaa mitandaoni ikumuonesha amepungua (amekuwa mwembamba) kuliko...
06
Bongo Movie yapata mtetezi mpya
Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya filamu nchini Tanzania, maarufu kama Bongo Movies, imeonekana kukua kwa kiasi fulani. Hata hivyo, licha ya ukuaji huo bado kunaonekana...
05
Niliyoyaona kwenye tuzo za filamu Zanzibar ZIFF hayafurahishi
Kwa niliyoyaona siku nne za tamasha la 27 la filamu za kimataifa Zanzibar 'ZIFF' nadhani yanaweza kuelezeka kwa msemo wa "ng'ombe unaweza kumpeleka mtoni lakini hauwezi kumlaz...
02
Bosi ZIFF ataka wasanii kutunga filamu zinanzohusu jamii
Mwenyekiti wa Tamasha la Filamu la Kimataifa (ZIFF), Chande Omar amesema wanatarajia kuwasukuma wasanii kucheza na kutunga filamu zinazohusu changamoto za jamii na siyo mapenz...
02
Leo siku ya bia duniani, mtaje rafiki yako ambaye unajua hakosi hii
Wanywaji wa bia nchini Tanzania, leo Ijumaa Agosti 2, 2024 wanaungana na wenzao duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia inayo...
13
Mfumo unamgharimu kuwika kimataifa
Wameingia kwenye mfumo!. Ni kauli aliyoitoa staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz baada ya wimbo wake ‘Komasava’ kubamba sehemu nyingi duniani ikiwemo Nigeria ambap...
10
Shakira kutumbuiza fainali ya Copa America 2024
Mwanamuziki mkongwe wa Colombia, Shakira amethibitishwa kutumbuiza kwenye fainali ya Copa America 2024, siku ya Jumapili inayotarajiwa kuhudhuriwa na mashabiki 54,000. Kwa muj...
07
Burna Boy: Hakuna anayeweza kuandika wimbo wa hadhi yangu
Mwanamuziki wa Nigeria, #BurnaBoy amedai kuwa hakuna mwandishi wa nyimbo anayeweza kuandika wimbo wa hadhi yake. Burna Boy ameyasema hayo kupitia mtandao wake wa X (Zaman...
04
Kolabo za wasanii bongo na Marekani zinavyogeuka hewa
Na Aisha Charles Hivi karibuni kumezuka mtindo wa wasanii kuonesha jumbe wanazowasiliana na wanamuziki kutoka mataifa mbalimbali hasa Marekani, wakiwa wanawaomba kufanya nao k...
17
Mourinho amuwinda beki wa Man United
Kocha wa klabu ya Fenerbahce, Jose Mourinho ameripotiwa kuiwinda huduma ya beki wa Manchester United, Victor Lindelof ili kuimarisha kikosi chake msimu wa 2024/25. Tovuti ya S...
23
Frida aweka historia kwenye kongamano la kimataifa la vijana na hip-hop
Rapa na mtangazaji, Frida Amani ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza kushiriki katika mkutano maarufu wa kimataifa wa NEXT, u...
09
Leo dunia inaadhimisha siku ya soksi zilizopotea
Kila ifikapo tarehe ya leo Mei 9, ulimwengu unaadhimisha siku ya soksi zilizopotea. Katika siku hii mataifa mbalimbali husherehekea kwa kutupa soksi zilizobaki ambazo hazina m...
07
Japan yazindua intaneti ya 6G
Makampuni ya mawasiliano ya simu nchini Japan, DOCOMO, NTT Corporation, NEC Corporation, na Fujitsu yamezindua kifaa cha kwanza cha 6G dunaini ambacho hutoa kasi ya utumiaji d...

Latest Post