Mojawapo ya sababu kuu zinazochochea ukuaji wa muziki wa Afrika katika soko la kimataifa inatajwa kuwa ni ushirikiano ‘kolabo’ kati ya wasanii wenyewe kwa wenyewe ...
Baada ya kuwepo kwa majadiriano mbalimbali katika miatandao ya kijamii kuhusiano na kolabo ya mwanamuziki kutoka Kenya, Willy Paul pamoja na msanii wa Tanzania Phina, na sasa ...
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
Inafahamika kuwa mwanamuziki Sebastian Charles 'Jaivah' ni miongoni mwa wasanii waliopita vizuri na upepo wa muziki wa Amapiano. Tangu ulipoanza kuvuma ukitokea Afrika Kusini....
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu huenda akawa amefanya kolabo na mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Yemi Alade, hii ni baada ya kuweka wazi kuwa kunamteule kwenye tuzo za...
Mwanamuziki wa Marekani Nicki Minaj amecheza kionjo cha nyimbo aliyorekodi na mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Wizkid.Minaj ameshare kionjo cha ngoma hizo wakati alipokuwa liv...
Baada ya kutamba katika remix ya ‘Komasava’ aliyomshirikisha msanii wa Marekani Jason Derulo na kupokelewa kwa ukubwa, sasa mwanamuziki Diamond ameripotiwa kufanya...
Na Aisha Charles
Hivi karibuni kumezuka mtindo wa wasanii kuonesha jumbe wanazowasiliana na wanamuziki kutoka mataifa mbalimbali hasa Marekani, wakiwa wanawaomba kufanya nao k...
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Jamaica, Sean Paul, amefunguka ushirikiano wake na mwimbaji wa pop wa Marekani, Beyoncé ulivyoanzia mpaka ngoma yao ya ‘Baby Boy...
Wanamuziki kutoka nchini Diamond, Jux, Billnass, Mbosso na mtayarishaji S2kizzy (Zombie) wako jikoni kuandaa ngoma ya pamoja ambapo kupitia video inayosambaa mitandaoni inawao...
Baada ya mwanamuziki Nicki Minaji kukataa kuingiza verse kwenye ngoma ya Kanye West iitwayo ‘New Body’, na sasa ni zamu ya ‘rapa’ Ice Spice naye amerip...
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Nicki Minaj kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share kionjo cha ngoma yake ambayo ameifanya na mkali wa #Afrobeat kutoka Nigeria, ...
Baada ya kufanya ‘kolabo’ ya ngoma yake inayotrend kupitia mitandao ya kijamii ya ‘Dah’ na Alikiba mwanamuziki Nandy ameweka wazi kuwa msanii kutoka nc...