03
Muundo wa kituo cha treni wazua gumzo
Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini China wamestaajabishwa na muundo wa kituo kipya cha treni, kituo hicho kufananishwa na taulo za kike (pedi).Muundo huo uliyopendekezwa ...
01
Davido: Nilistahili kuwa na tuzo 20 za Grammy
Mkali wa #Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido amesema kuwa mpaka alipofikia alistahili kuwa na Tuzo 20 za #Grammy kutokana na ngoma zake kupigwa nchi tofauti tofauti. Davido...
24
Makabila amewasili kituo cha polisi Oysterbay
Baada ya kuzuka tetesi kuhusina na mwanamuziki wa Singeli nchini Dulla Makabila kufunguliwa mashitaka na aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya Yanga Haji Manara na mchum...
15
Atembea kilomita 450 kwa miguu baada ya kugombana na mkewe
Mwanaume mmoja kutoka nchini Italy amewashangaza wengi baada ya kutembea kwa miguu maili 280 (450km) kutoka mji wa Como hadi mji wa Fano, ambao ni sawa na umbali wa Dar es Sal...
05
Aliyedaiwa kumpiga Mohbad ajisalimisha kituo cha polisi
Baada ya ‘polisi’ kutoa tangazo la donge nono kwa atakaye mpata aliyekuwa rafiki wa karibu wa MohBad, Prime Boy hatimaye kijana huyo amejisalimisha mwenyewe kwa je...
06
Nay : Hata nikilala polisi mwezi niko tayari
Leo mapema mwanamuziki wa Hip-hop #NayWaMitego ameitika wito kwa ‘kuripoti’ kwenye kituo cha polisi #Central kwa mazungumzo juu ya wimbo wake aliotoa hivi karibuni...
30
Diamond anaupiga mwingi kwenye maokoto
Ebanaee!!! Amkeni bhana we hivi unajua staa wa muziki wa bongo fleva Diamond platnumz anaingiza mkwanja wa kiasi kikubwa cha Tsh.milioni 183. Kwa mujibu wa ukurasa wa Twitter ...
29
39 wafariki kwa moto kituo cha wahamiaji
Watu 39 wamefariki katika ajali ya moto, katika kituo cha wahamiaji nchini Mexico. Tukio hilo limetokea katika mji wa Ciudad Juarez, ambapo idadi ya waliojeruhiwa ni 29, huku ...
30
Mwanamke mkoani Geita ajifungua katika kituo cha basi
Mwanamke mmoja mkoani Kigoma ambae ambaye jina hakuweza kufahamika, aliekuwa akitokea Geita mjini akielekea Kasuru amelazimika kukatisha safari yake mara baada ya kupata ...
07
Kituo cha mafuta cha Ovis chawaka moto, Kigamboni
Usiku wa kuamkia leo, umezuka moto katika Kituo cha Mafuta cha Ovis Kigamboni Darajani Dar es Salaam huku chanzo cha awali kikidaiwa kuwa ni ufaulishaji holela wa mafuta. Mku...

Latest Post