24
Jamie Foxx aiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili
Mwigizaji kutoka Marekani Jamie Foxx ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa dhidi yake na mwanamke aliyemshutumu kwa unyanyasaji wa kijinsia.Kwa mujibu wa tovut...
28
Mr Ibu azikwa, fahamu zaidi kuhusu maisha yake
Marehemu mwigizaji kutoka Nigeria John Okafor (62) maarufu Mr Ibu ambaye alifariki Machi 2, 2024 tayari amezikwa katika mji aliozaliwa wa #Amuri, Jimbo la #Enugu nchini humo.I...
28
Billnass na Rayvanny waiombea Kenya
Wanamuziki wa Bongo Fleva Nchini Rayvanny na Billnass wametuma salamu za pole na kuwaombea wananchi wa Kenya ambao wamejeruhiwa na wengine kuuwawa katika maandamano ya kupinga...
28
Nicki Minaj asimamisha show kumpongeza Davido na Chioma
‘Rapa’ wa Marekani Nicki Minaj wakati akiwa anatumbuiza kwenye tamasha la ‘Afro Nation 2024’ lililofanyika nchini Ureno alisimamisha show yake na kumpo...
27
Davido na Chioma wasepa Nigeria
Baada ya mwanamuziki Davido kufunga ndoa na mkewe Chioma siku ya Jumanne Juni 25, 2024 na kutiki mji kufuatia na sherehe yao kuzungumzia ndani na nje ya Afrika, wanandoa hao w...
26
Baadhi ya Mastaa wakike Bongo wafurahishwa na uvumilivu wa Chioma
Baada ya mwanamuziki kutoka Nigeria Davido kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Chioma siku ya jana Jumanne Juni 25, mastaa wakike mbalimbali kutoka Bongo wamempongeza Ch...
10
Maafisa kuchunguza waliomfananisha Lebron na Tumbili
Maafisa elimu Marekani wameingi katika uchunguzi wa bango la ubaguzi wa rangi lililomlinganisha nyota wa NBA, LeBron James na tumbili katika tangazo la chakula cha nafaka liit...
13
Aliomba talaka kwa sababu mumewe hakuwa msaliti
Mwanamuziki kutoka nchini Brazil Caroline Lyra ambaye pia alikuwa mke wa zamani wa mchezaji Ricardo Kaka, amedai kuwa aliomba talaka kwa mumewe kwa sababu hakuwa akimsaliti wa...
25
Mwigizaji wa nigeria, Amaechi afariki dunia
Ikiwa zimepita wiki tatu tangu kitokee kifo cha mwigizaji kutoka Nigeria Mr Ibu, sasa imeripotiwa kifo cha mwigizaji mwingine kutoka nchini humo anayefahamika kwa jina la Amae...
20
Kocha Pep Guardiola amuomba radhi Phillips
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #ManchesterCity #PepGuardiola amemuomba radhi mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ hiyo #KalvinPhillips kwa kusema kuwa kiun...
13
Aucho aiombea Taifa Stars
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Uganda na ‘klabu’ ya Yanga Khalid Aucho ameitakia kila la kheri ‘Taifa stars’ katika michuano ya AFCON 2023,...
10
Saudia hawana ubahili kwenye soka
Muanzilishi wa kampuni ya ‘FutBolJobs’ Valentin Botella Nicolas, kutoka nchini Saudi Arabia amepanga kusajili wachezaji wapya kwa ajili ya ‘ligi’ daraj...
15
Miwani ya Meta yenye uwezo wa kuona na kusikia
CEO wa Meta Mark Zuckerberg akionesha uwezo wa miwani inayotumia akili bandia (AI) katika kumsaidia kazi mbalimbali. Miwani hii inafahamika kwa jina la Ray-Ban Meta, ambayo Ma...
17
Maendeleo ya Mr Ibu baada ya kukatwa mguu
Baada ya familia ya muigizaji kutoka nchini #Nigeria Mr Ibu kukatwa mguu kwa ajili ya kuokoa maisha yake, binti yake anaye fahamika kwa jila la Chioma Jasmine amewatoa hofu ma...

Latest Post