25
Paula Kajala: Ujauzito si kitu
Mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva, Marioo, Paula Kajala ameweka wazi kuwa mjamzito si kitu, bali hisia bora ni pale unapokabidhiwa mtoto wako na Nesi.Kupitia ukurasa wake wa Ins...
21
Marioo na Paula wapata mtoto wa kike
Baada ya kuthibitisha kutarajia kupata mtoto, hatimaye mwanamuziki Marioo na mpenzi wake Paula Kajala wamepata mtoto wa kike waliyompa jina la Amarah.Kupitia ukurasa wa Instag...
13
J.Cole afuta ngoma ya 7 minute Drill
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani J.Cole kumuomba msamaha Kendrick Lamara katika onesho la Dream Ville lililofanyika wiki hii, kuhusiana na kumsema vibaya Lamar kupi...
09
Gladness kuinua wanawake wenye vipaji
Mchekeshaji na muigizaji kutoka nchini Gladness Kifaluka maarufu kama Pili Wa Kitimtimu ameweka wazi kutaka kuinua wanawake wenye vipaji vya uchekeshaji.Gladness ameyasema hay...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
09
Zamaradi: kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha
Kutokana na baadhi ya mashabiki kutoka nchini #Nigeria kuumizwa na kitendo cha mastaa wao kutopokea tuzo yoyote ya #Grammy, mtangazaji Zamaradi Mketema ameyatoa ya moyoni huku...
06
Matokeo ya Yanga kicheko kwa Zamaradi, Amshukuru Hersi
Zamaradi Mketema aendelea kuonesha furaha aliyonayo baada ya mchezo wa jana Simba kutandikwa bao tano na Yanga, kutokana na furaha hiyo Zamaradi ametoa shukrani kwa Rais wa Ya...
05
Lukamba: Zamaradi hakuna kitu kinaweza kukusumbua nikiwa hai
Aliyekuwa mpiga picha wa Diamond, Lukamba ameingilia kati maneno yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii kutoka kwa kijana anayedai alikuwa akifanya kazi kwa Zamaradi lakini ...
23
Rayvanny na Paula watoleana maneno
Waswahili bwana hawakukoseaga walivyosema mkiachana muachane kwa wema ili hapo baadae msije kutoleana maneno mabaya mkawafaidisha waja, basi bwana vita nzito ya kutupiana mane...
14
Bango la Zamaradi lazua gumzo mtandaoni
Aisee unaambiwa kopa limejaa bwana au watoto wa mjini wasema Mahaba ndi ndi ndi yamedhihirishwa live na Mtangazaji na mjasiriamali Zamaradi Mketema baada ya kuweka bango lenye...

Latest Post