Rais Ruto amesisitiza dhamira ya Serikali yake katika kukomesha Mauaji holela Nchini humo, kwa kuagiza Mipango ya Mageuzi ya Jeshi hilo na uangalizi wa Raia Hayo yamejiri Sik...
Boga (Pumpkins) ni miongoni mwa vyakula vilivyopo katika kundi la mimea ya Cucurbitaceae au familia ya squash. Maboga huwa yana umbo kubwa, la dura na rangi yake h...
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na Mpenzi wake Chioma Rowland amefariki Dunia Mtoto huyo anayefa...
Ooooh! Haya wale wa tunaweza wameupigwa mwingi sana katika matokeo ya sensa ya watu na makazi, wanawake ndio wengi Zaidi ambapo kauli hiyo imetolewa na Rais wa jamuhuri ya muu...
Rwanda imemshutumu jirani yake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kuchochea wasiwasi baina yao baada ya Kongo hapo jana kumuagiza balozi wa Rwanda kuondoka nchini humo katik...
Watu 11 wamefariki Jumamosi wakiwemo maafisa wawili wa polisi katika mkanyagano kwenye uwanja wa michezo uliokuwa umefurika watu waliokwenda kuhudhuria tamasha la mwanamziki F...
Rais wa zamani wa Brazil Luis Inacio Lula da Silva ameshinda duru ya pili ya uchaguzi baada ya kumuangusha mpinzani wake Jair Bolsonaro na kutoa mwito wa amani na umoja baada ...
Katika kuelekea kilele cha kutoa elimu Kwa jamii juu ya ugonjwa wa kansa ya matiti tarehe 31 oktoba, jarida lako pendwa la Mwananchi scoop linakuletea nakala likifafanua Kwa k...
Habari kijana mwenzangu karibu kwenye Makala za kazi, ujuzi na maarifa bila shaka umekua mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazohusu masuala haya.
Wiki hii bwana kwenye ki...
Hellow! Watu wangu wa nguvu kama kawaida yetu yani sisi hatunaga mba mba mba, leo katika biashara tunakusogezea mada konki ambayo itaweza kukupa elimu ya kile unachotaka kukif...
Oooooh! Amkeni amkeni wanangu wa mavyuoni basi bwana kuna wale wavivu kuamka asubuhi kwenda kuwahi lecture huwa wengi wetu tunakimbilia kusoma katika mitandao, sasa tumekusoge...
Waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia Mwanamfalme Faisal bin Farhan amekiambia kituo cha televisheni cha Al-Arabia kuwa rais wa China Xi Jinping anatarajiwa kufanya ziara kat...
Mfanyabiashara bilionea wa Elon Musk anaripotiwa kuchukua udhibiti wa mtandao wa Twitter. Awali kampuni yenye umuliki wa mtandao huo ilikataa kiwango cha dola bilioni 44 kilic...