09
Ustaa bongo ni mzigo wa maumivu
Kama kuna kitu kigumu kwenye huu ulimwengu, basi ni kuishi katika dunia ya umaarufu, hasa unaokulazimu kuficha maumivu na uonyeshe nyakati za furaha pekee. Huu ndiyo uhalisia ...
27
Faida na hasara za biashara mtandaoni
Na Aisha Lungato Maendeleo makubwa katika masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) imeenda kubadilisha nyanja mbalimbali ya maisha yetu ikiwemo namna tunavyowas...
13
Sanaa, Burudani zaongoza kwa ukuaji 2023
Mwaka 2023, sekta ya sanaa na burudani iliongoza kwa kuwa na ukuaji wa asilimia 17.7. Hayo yamo katika taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023 iliyowasilishwa bungen...
13
Watoto wamkutanisha Jennifer Lopez na Ben Affleck
Baada ya kuwepo kwa tetesi za mwanamuziki #JenniferLopezi na mumewe #BenAffeck kutengana na kuuza nyumba yao waliyokuwa wakiishi, hatimaye wawili hao wamekutana tena katika ma...
08
Teknolojia ya kuwakutanisha marehemu na ndugu zao
Shirika la Utangazaji la Munhwa (MBC) nchini Korea limezindua teknolojia mpya itakayo saidia familia kukutana tena na watu wao wa karibu waliyofariki dunia.Ili kutilia maanani...
05
Mwanamitindo Nada afunga ndoa na bilionea wa PTL
Mkurugenzi kampuni inayojihusisha na mitindo ya nguo za wanawake Pretty Little Thing (PLT), bilionea #UmarKamani amefunga ndoa na mwanamitindo kutoka nchini Uingereza #NadaAde...
04
Wachezaji walivyoingia na mama zao uwanjani
Moja ya tukio lililowafurahisha na kuwavutia mashabiki wengi ni baada ya wachezaji wa ‘klabu’ ya #GetafeFC kutoka nchini Uhispania kuingia uwanjani na wazazi wao w...
28
Harmonize: Nakaribia kujuta kusaidiwa na Diamond
Staa wa #BongoFleva #Harmonize ni kama ameonyesha kuchoshwa na kauli ambayo #DiamondPlatnumz anapenda kuisema mara kwa mara kuwa yeye ndiyo aliyemtoa katika muziki. Harmonize ...
02
Umuhimu wa kuchukua likizo kazini
Na Aisha Lungato Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2008 kifungu namba 31 ibara (1) imeeleza kuwa Mwajiri atatakiwa kutoa likizo kwa mfanyakazi angalau...
07
Zari na shakibi wamaliza tofauti zao
Baada ya kuzuka sintofahamu kwa wanandoa Zari pamoja na mumewe Shakibi kuwa wameachana, wawili hao wamethibitisha kuwa wapo pamoja baada ya kuonekana Saudi Arabia.Kupitia ukur...
12
Jinsi ya kukuza kope halisi
Na Aisha Charles Mambo vipi watu wangu wa nguvu kwa mara nyingine tunakutana tena katika Fashion kupashana habari za urembo na style mbalimbali zinazokiki mjini katika fashion...
05
Utafiti: Nusu ya vijana wenye miaka 18 hadi 29 wanaishi kwa wazazi
Kutokana na utafiti uliofanywa mwaka jana  na kituo cha Pew Research, umegundua kuwa karibia nusu ya vijana wote nchini Marekani walio na umri kati ya miaka 18 hadi 29 ba...
04
Ali Kiba: Ukitaka kolabo na mimi jitafute kwanza
Mwanamuziki wa #BongoFleva #AliKiba amesema kuwa wasanii wanaotaka kufanya kolabo naye wajitafute kwanza hata kama mwanamuziki ambaye yupo chini ya lebo yake. Akizungumza mbel...
22
Kuna Wanamuziki, Madijei, Mashabiki na muziki
Wanamuziki wanawaza chapaa, mkwanja, faranga, njuruku, mapene, mawe, ukwasi, fuba na maneno yote yanayomaanisha pesa, fedha au shilingi. Wanavuja jasho kwenye kila kitu kinach...

Latest Post