06
Ten Hag ana mechi mbili tu Man United
Mchezaji wa zamani wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Alan Shearer amesema kocha wa Manchester United, Erik ten Hag ana michezo miwili pekee ya kuokoa kibarua ch...
10
Man United yaisaka saini ya beki wa Bayern
Tetesi zinadai kuwa klabu ya Manchester United wako mbioni kuisaka saini ya beki wa klabu ya Bayern Munich ambaye ni raia wa Uholanzi, Matthijs De Ligt. Inaelezwa kuwa mchezaj...
01
Man United mbioni kumtangaza mkurugenzi mpya
Klabu ya #ManchesterUnited inajiandaa kusaini nyaraka kwa ajili ya kumtangaza Dan Ashworth kama Mkurugenzi wa Michezo kutoka klabu ya Newcastle United baada ya vilabu hivyo ku...
29
Staa wa Man United atembelea Mikumi, Visiwa Vya Karafuu Zanzibar
Tanzania imeendelea kuwa kivutio cha watalii kuja kupumzika na kutembelea vituo vilivyopo, hii ni baada ya kiungo wa Manchester United na timu ya taifa Morocco, Sofyan Amrabat...
27
Al-Hilal yaitaka saini ya winga wa Man United
‘Klabu’ ya Al-Hilal ipo kwenye mipango ya kumnunua winga wa klabu ya #ManchesterUnited, raia wa Argentina #AlejandroGarnacho, ambaye kwa sasa yupo katika mashindan...
23
Rashford agoma kuondoka Man United
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #MarcusRashford ameripotiwa kuweka wazi mipango yake baada ya kuwepo kwa tetesi za kuondoka katika ‘timu’...
17
Mourinho amuwinda beki wa Man United
Kocha wa klabu ya Fenerbahce, Jose Mourinho ameripotiwa kuiwinda huduma ya beki wa Manchester United, Victor Lindelof ili kuimarisha kikosi chake msimu wa 2024/25. Tovuti ya S...
14
Ronaldo kupunguziwa majukumu Euro 2024
Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Wes Brown amesema staa wa Al Nassr na Ureno ajiandae kwa majukumu tofauti na yale aliyozoea katika kikosi cha ‘timu’ ya ta...
08
Arsenal, Man United zapigana vikumbo kwa Brahim Diaz
Imefahamika kuwa ‘klabu’ za Arsenal na Manchester United zipo katika vita kali ya kumwania mshambuliaji wa mabingwa wa ‘soka’ nchini Hispania, Real Mad...
04
Man United yawataka Cunha na Kudus kwa mpigo
‘Klabu’ ya Manchester United imepanga kutumia Pauni 60 milioni kwenye usajili wa straika wa Wolves, Matheus Cunha huku ikiweka mipango yake sawa kumnyakua pia staa...
21
Man United yaitajia Dortmund bei ya Sancho
‘Klabu’ ya Manchester United inataka walau asilimia 75 ya kiasi cha pesa ilicholipa kumnunua Jadon Sancho mwaka 2021 ikiwa ‘timu’ yoyote itataka kumsaj...
08
Martinez kurudi tena uwanjani
Mchezaji wa #ManchesterUnited, #LisandroMartinez anatarajiwa kurudi tena uwanjani katika mchezo wa fainali ya kombe la FA utakaochezwa Mei 25, 2024 katika uwanja wa #Wembley n...
07
Jemie: Casemiro Hafai kuwepo Man United
Mwana-soka wa zamani wa ‘klabu’ ya Liverpool na Uingereza #JemieCarragher amedai kuwa mchezaji wa Manchester United Casemiro hafai kuwa ‘klabuni’ hapo ...
07
Ten Hag hajapoteza matumaini na Man United
Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema bado anataka kuendelea kupambana kuhakikisha anakuwa kocha wa timu hiyo msimu ujao pamoja na kupata matokeo mabaya. United ili...

Latest Post