08
Internet yazimwa kwa muda Pakistan
Huduma za Internet nchini Pakistan zimezuiwa kwa muda kuhofia ugaidi wakati wa zoezi la uchaguzi linaloendelea leo nchini humo kufuatiwa na upinzani mkubwa wa vyama viwili vya...
01
Ifikapo 2070 dunia itakuwa na watu zaidi ya bilioni tisa
Taasisi ya Kimataifa ya Uchambuzi wa Mifumo (IIASA), imeeleza kuwa idadi ya watu duniani inakadiriwa kufikia bilioni 9.4 ifikapo mwaka 2070, licha ya kudaiwa kuwepo kwa ongeze...
06
Mwili wa rais wa zamani Pakistani kurejeshwa nyumbani
Aliyekuwa Rais wa zamani nchini Pakistan Pervez Musharraf ambaye alishiriki Mapinduzi ya Kijeshi Mwaka 1999 amefariki akiwa na umri wa Miaka 79 alipokuwa akipatiwa Matibabu&nb...
29
Mbakaji aachiliwa huru baada ya kukubali kumuoa muathiriwa
Mahakama ya Pakistan imemwachilia mbakaji baada ya kukubaliana kumuoa mwathiriwa wake katika suluhu iliyosimamiwa na baraza la wazee kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo, kulinga...
25
Polisi wakiri kumuua Mwandishi wa habari wa Pakistan
Hii imetokea huko nchini Kenya ambapo kupitia taarifa ya  Jeshi hilo limeahidi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zinazostahili kwa wahusika waliompiga risasi Arshad Sha...
13
Pakistan: Watu 18 wa familia moja wafariki katika ajali ya basi
Mamlaka nchini Pakistan zimefahamisha kuwa watu 18 wa familia moja wakiwemo watoto 12 wamefariki baada ya basi waliyokuwa wakisafiria kuteketea kwa moto kutokana na hitilafu y...
30
Mafuriko yaigharimu Pakistan
Hii ni kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mipango, AhsanIqbal inasema makadirio ya awali yanaonesha mafuriko makubwa yaliyoikumba Nchi hiyo, yamesababish...
26
Watu 310 Wafariki Pakistan
Moja kati ya taarifa kubwa tuliyonayo ni hii hapa ambapo Takribani watu 310 wamefariki dunia huku wengine 300 wamenusurika kifo kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha n...

Latest Post