19
Tyla: Mtoto wa 2000 anavyomfunda Diamond
Mwimbaji wa Afrika Kusini, Tyla, 22, hivi karibuni ameshinda tuzo ya MTV Video Music Awards (VMAs) 2024, mafanikio haya ni somo lingine kwa staa wa Bongofleva, Diamond Platnum...
26
Burna Boy afanya kama Navy Kenzo
Mwanamuziki wa Nigeria Burna Boy, amefungua shule ya kufundisha soka nchini humo ikiwa na lengo la kukuza vipaji vya vijana wacheza soka kwenye taifa hilo.Shule hiyo ya Burna ...
30
Maisha yanavyowabadilisha wasanii
Licha ya kuwa katika ulimwengu wa burudani, umaarufu na mafanikio mara nyingi hutafsiriwa kama kipimo cha furaha kwa wasanii, lakini wapo baadhi ambao wamekuwa wakiikimbia tas...
13
Vijana wanavyoitazama sanaa kama sehemu ya kutokea
Moja ya biashara ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kama utaweka jitihada na nguvu katika kujifunza ni sanaa. Kutokana na hilo, sekta hii imekuwa ikikimbiliwa na vijana wengi...
13
Maokoto yanavyowafanya wasanii wa vichekesho kukimbilia YouTube
Siku za hivi karibuni huwenda mambo ni rahisi kwa wasanii wa vichekesho baada kuyakimbiza maudhui yako katika mitandao ya kijamii kama YouTube tofauti na ilivyokuwa zamani. Ak...
04
Gara B, Dokta Cheni wanavyobamba na nyimbo za wasanii wakongwe
Ukisikia cha kale dhahabu ndiyo hiki, kwa sasa kwenye sherehe kama vile harusi, 'Send Off' na 'Kitchen Party' siyo ajabu kusikia ngoma za zamani zikipigwa na wageni waalikwa w...
04
Mocco Genius anavyobadilika kama kinyonga kwenye ngoma zake
Kawaida ubunifu ndiyo kitu kinachotofautisha mtu mmoja na mwingine katika kazi ya sanaa hasa katika muziki ambapo kila msanii anatamani kuwa bora kuliko mwenzake. Wapo ambao w...
04
Kolabo za wasanii bongo na Marekani zinavyogeuka hewa
Na Aisha Charles Hivi karibuni kumezuka mtindo wa wasanii kuonesha jumbe wanazowasiliana na wanamuziki kutoka mataifa mbalimbali hasa Marekani, wakiwa wanawaomba kufanya nao k...
02
Baba Burna Boy aweka wazi anavyojivunia mwanaye
Baba mzazi wa mwanamuziki wa Nigeria Burna Boy, Samuel Ogulu ameweka wazi jinsi anavyovutiwa na mafanikio ya kijana wake, hii ni baada ya mwanaye kuupiga mwingi katika onesho ...
13
‘VAR’ kutumika ligi kuu bara msimu ujao
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya m...
28
Jay Moe aelezea anavyomkumbuka Mangwea
Tarehe kama ya leo mwaka 2013 alifariki mwanamuziki Albert Keneth 'Mangwea', aliyewika miaka ya 2000 kwa ngoma kama vile 'Ghetto Langu','Kimya Kimya''Nipe deal','Alikufa kwa n...
16
Tazama nguo chakavu zinavyo badilishwa kuwa mapambo
Kuna msemo usemao kila kitu kina umuhimu wake hata kama chazamani msemo huu umejidhihirisha kutoka katika kampuni ya ‘Fab Bricks’ ambapo wamekuwa wakitumia nguo ch...
18
Vyakula unavyotakiwa kula wakati wa kufuturu
Mambo vipi watu wangu wa nguvu mwezi Machi umekuwa wa kipekee, swaumu zimetaradadi kila kona, bila kuwachosha mwezi huu mzima nitakusogezea tips mbalimbali za chakula, ambazo ...
04
Mastaa wa bongo waige mahusiano ya Navykenzo
Kumekuwa na wimbi kubwa la wasanii wa Bongo kutokuwa na mahusiano ya kudumu hii imekuwa ikiwaogopesha, watu wengine kuingia kwenye mahusiano na wasanii au watu maarufu kwa kuo...

Latest Post