25
Meneja akanusha taarifa ya bondia Deontay Wilder kustaafu
Bondia Deontay Wilder bado ameendelea kuwa kimya juu ya hatma yake kwenye masumbwi tangu alipoahidi endapo atachapwa na Zhilei Zhang, nchini Saudi Arabia, atastaafu. Wilder al...
02
Watu 48 wafariki kwa tetemeko la ardhi
Tetemeko la ardhi nchini Japani limesababisha vifo vya watu taribani 48 na kufanya uharibifu katika sehehemu mbalimbali nchini humo. Inaelezwa kuwa tetemeko hilo lilianza siku...
17
Kocha atimuliwa kisa kipogo cha mabao matatu
‘Klabu’ ya #Sevilla imemfuta kazi ‘kocha #DiegoAlonso ‘klabuni’ hapo kufuatia kipigo cha 3-0 dhidi ya ‘klabu’ ya #Getafe kwenye &lsqu...
17
Kendrick adakwa na polisi kwa mkosa matatu
Mwanasoka wa #Rams kutoka nchini #Marekani, #DerionKendrick,anadaiwa kukamatwa na polisi Los Angeles kwa ukiukaji wa sharia za barabarani, huku ndani ya gari lake akiwa amebeb...
12
Daladala alilopanda Odinga lapata umaarufu
Waswahili wanasema mgeni njoo mwenyeji apone, msemo huu umesaidiki, kupitia kijana David Murage ambae amejipatia umaarufu kwa siku tu baada ya kumsafirisha kiongozi wa Muungan...
10
Odinga apanda daladala akielekea kazini
Kiongozi wa Azimio la Umoja nchini Kenya, Raila Odinga mapema leo Jumatatu, Julai 10, 2023 ametumia usafiri wa umma maarufu matatu nchini humo wakati akienda kazini. Kabla na...
24
Feisal apewa masharti matatu Yanga
Rais wa Yanga Mhandisi, Hersi Said amesema kuna machagua matatu ya kiungo Feisal Salum maarufu kama Fei Toto ya kuendelea kusalia Yanga kuendelea kutumikia mkataba au kuondoka...
02
Messi atoa Iphone kwa wachezaji wenzake wa Argentina
Aloooooweeeh! Aloootenaaa! Sijui tuseme wiki hii ni wiki ya mwamba La Pulga au Messi kuupiga mwingi kwa kuwazawadia wachezaji wake na benchi la ufundi kwa kuwapatia simu za ip...

Latest Post