18
Aliyetamba na wimbo wa Jambo Bwana afariki dunia
Mwanamuziki wa Kenya Teddy Kalanda Harrison ambaye alipata umaarufu kupitia wimbo wa ‘Hakuna matata/Jambo bwana’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.Taarifa ...
10
T.I na mkewe wafutiwa mashitaka
Mkali wa ngoma ya ‘Live Your Life’, T.I na mkewe Tinny Harris wameripotiwa kufutiwa mashitaka yaliyokuwa yakiwakabili ya unyanyasaji wa kingono waliyoyafanya mwaka...
01
Mashabiki Sudani Kusini walivyofuatilia mchezo dhidi ya USA, Olimpiki 2024
Mashabiki wa michezo Sudan Kusini usuku wa kuamkia leo walikusanyika katika eneo moja kwa ajili ya kufuatilia mchezo wa Mpira wa K...
27
Hakimi atoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Arusha
Mchezaji wa ‘klabu’ ya PSG Ashraf Hakimi ambaye yupo Tanzania kwa ajili ya mapumziko na kutembelea vivutio mbali mbali vya utalii, kupitia taasisi yake ya ‘A...
22
Amshitaki ‘Ex’ wake kwa kutomsindikiza uwanja wa ndege
Mwanamke mmoja kutoka New Zealand, aliyetambulika kwa jina la CL amemshitaki mpenzi wake wa zamani kwa kushindwa kumpeleka (kumsindikiza) uwanja wa ndege wakati wa kusafiri.Kw...
20
Davido amshitaki mama watoto wake
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria, #Davido amemshitaki mama watoto wake aitwaye Sophia Momodu, kwa kwa kudai huduma ya malezi iiliyopitiliza ya binti yake wa kwanza, aitwaye I...
15
Kampuni ya Apple yashitakiwa kwa kusababisha mume na mke kuachana
Mfanyabiashara wa Uingereza aliyefahamika kwa jina la Richard ameripotiwa kuishitaki kampuni ya simu za Iphone, hii ni baada ya kampuni hiyo kurudisha ‘meseji’ zil...
24
Hit em up ya Tupac ndiyo wimbo bora wa hip-hop
Wimbo wa marehemu Tupac Shakur uitwao ‘Hit Em Up’ umetajwa na Billboard kuwa ndiyo wimbo bora wa muda wote huku ukishika nafasi ya kwanza katika tovuti hiyo.Kwa mu...
23
Beyonce na Jay-Z washitakiwa
Kundi la zamani la New Orleans limewashitaki wanamuziki Beyonce, Jay-Z na Big Freedia kwa ukiukwaji wa hakimiliki kutoka katika wimbo wa Beyonce wa ‘Break My Soul’...
15
Questlove aikataa Hit Em Up ya Tupac
Mwigizaji na mtayarishaji wa muziki Marekani Questlove, amedai kuwa hakuwahi kuwa shabiki wa marehemu mwanamuziki Tupac wala kuikubali ngoma yake iitwayo ‘Hit Em Up&rsqu...
09
Trela ya reality show ya The Kardashians yawashitua mashabiki
Trela inayoendelea kusambaa kupitia mitandao ya kijamii ya reality show ya familia maarufu nchini Marekani ‘The Kardashians on Hulu’ imewashitua mashabiki baada ya...
08
50 Cent amshitaki Ex wake kwa kumchafulia CV
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amemshitaki mpenzi wake wa zamani aitwaye Daphne Joy kwa kumshutumu hadharani kuwa aliwahi kumfanyia unyanyasaji wa kimwili. Kwa muj...
07
Ashitakiwa kwa kumuua mkewe kisa bili ya hospitali
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika kwa jina la Ronnie Wiggs ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mkewe akiwa Hospitali baada ya kushindwa kulipa ‘bili’...
26
Palace watangaza dau kwa Man U kumchukua Osile
Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited italazimika kulipa pauni 60 milioni ili kumpata mchezaji wa klabu ya Crystal Palace F.C, Michael Olise msimu ujao. Kw...

Latest Post