14
Baada ya miezi tisa meli ya kitalii yakamilisha safari yake
Baada ya miezi tisa baharini, meli kubwa zaidi duniani iitwayo ‘Royal Caribbean’s Icon of the Seas’ imemaliza safari yake huku ikitarajiwa kurejea Miami siku...
29
Saa ya abiria aliyezama meli ya Titanic yauzwa sh 3.7 bilioni
Saa ya mfukoni ya mfanyabiashara mkubwa aliyefariki dunia katika ajali ya meli ya Titanic, John Jacob Astor imepigwa mnada mara sita zaidi ya bei iliyokuwa ikiuzwa awali na ku...
14
Trey aikwepa kesi ya unyanyasaji wa Kingono
Imeripotiwa kuwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #TreySongz amemalizana na kesi yake ya unyanyasaji wa kingono ambayo ilifunguliwa February mwaka 2016. Kwa mujibu wa Daily...
30
Rapa Lizzo atangaza kuacha muziki
'Rapa’ kutoka nchini Marekani Lizzo ametangaza kuacha kufanya muziki baada ya kidai kuwa haoni manufaa wala mafanikio aliyoyapata toka aanze kufanya muziki.Kupitia ukura...
13
Meli kubwa zaidi duniani imewasili Miami
Meli kubwa zaidi Duniani inayoitwa ‘Royal Caribbean’s Icon of the Seas’ tayari imewasili jijini Miami nchini Marekani ikitokea Finland ambapo ndipo ilipoteng...
28
Wanandoa wauza mali zote, Wakaishi kwenye meli
Wanandoa kutoka nchini Marekani wajulikanao kama John Hennessee, na mkewe Melody Hennessee wanadaiwa kuuza mali zao zote kwa ajili ya kwenda kuishi kwenye meli. Kwa mujibu wa ...
04
Meli kubwa zaidi duniani kuanza safari mwezi ujao
Meli kubwa zaidi duniani ya kitalii iitwayo "Icon of the Seas" inatarajia kuanza safari Januari 27, 2024, kutoka PortMiami nchini Marekani, na itaanza kwa ziara ya siku saba y...
25
Mfahamu mwanaume aliyetengwa baada ya kupona kwenye ajali
Siku zote waswahili wanasema ukistajaabu ya Musa utayaona ya Firauni, msemo huo ulijionesha kwenye historia ya ajali ya kuzama kwa meli ya Titanic, iliyotokea Aprili 14, 1912 ...
03
Mwandishi Victoria Amelina afariki dunia
Mwandishi maarufu wa Ukraine, Victoria Amelina amefariki dunia leo Jumatatu kutokana na majeraha aliyopata kufuatia shambulio la kombora lililotokea Jumanne alipokuwa akipata ...
15
Wahamiaji 73 wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya meli
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeandika kwenye mtandao wao wa Twitter  kuwa takribani wahamiaji 73 wameripotiwa kupotea na kudhaniwa kuwa wamekufa kufuatia ajal...

Latest Post