10
Enzi za uhai wake hakuchoka kuitumikia Tasnia ya filamu
Mwigizaji wa Marekani, James Earl Jones ambaye alipata umaarufu kupitia filamu kama ‘Coming to America’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93.Taarifa ya kifo c...
28
Kuchukia kufua kulivyomfanya Channing avae nguo mpya kila siku
Mwigizaji kutoka Marekani Channing Tatum amefunguka kuwa aliwahi kununua mashati kwa mwaka mzima kutokana na kuchukia kufua.Channing Tatum ameyasema hayo wakati alipokuwa kwen...
27
Ngoma za wasanii wa Universal Music Group kuchezwa WhatsApp
Kampuni ya Meta inayojihusisha na mitandao ya kijamii pamoja na kampuni inayoongoza duniani kwa kutoa burudani ya muziki 'Universal Music Group (UMG)' zimeingia makubaliano ma...
20
Charlie Chaplin mkali wa kuchekesho bila kutumia maneno
Kutokana na maendeleo ya teknolojia ulimwengu unaendelea kufurahia kazi za Charlie Chaplin, msanii maarufu wa vichekesho aliyezaliwa Aprili 16, 1889 London, Uingereza, alijuli...
30
Diddy kuchunguzwa na familia ya Tupac
Baada ya kuandamwa na kesi takribani nane kuhusiana na unyanyasaji wa kingono, mkali wa Hip-hop wa Marekani Diddy ameripotiwa kufanyiwa uchunguzi na familia ya Marehemu Tupac....
04
Sababu, filamu ya Gabo Safari ya Gwalu kuchaguliwa Korea
Ikiwa imepita siku moja tangu mwigizaji kutoka nchini Salim Ahmedy ‘Gabo Zigamba’ kuchapisha picha kupitia ukurasa wake wa Instagram ikionesha filamu yake ya &lsqu...
04
Amouta kuchukua mikoba ya Nabi AS FAR Rabat
‘Klabu’ ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta kuwa ‘kocha’ mkuu klabuni hapo kwa ajili ya kuchukua mikoba...
28
Ndoto ya Lebron James kucheza na mwanaye yatimia
Gwiji wa mpira wa Kikapu wa Marekani, LeBron James anatarajiwa kuwa mchezaji wa kwanza kucheza ‘timu’ moja na mwanawe wa kwanza, Bronny James.Mpango huo umewezekan...
23
Rashford agoma kuondoka Man United
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #MarcusRashford ameripotiwa kuweka wazi mipango yake baada ya kuwepo kwa tetesi za kuondoka katika ‘timu’...
20
Tems: Ukinichumbia jua umepata ua adimu
Msanii Tems amejipa maua yake kwa kudai kuwa mwanaume atakaye mchumbia au kuwa naye katika mahusiano basi atakuwa amepata ua adimu. Mwanamuziki huyo aliyasema hayo wakati akio...
19
Mume wa Simi afunguka kuwa na ugonjwa wa ‘Sickle Cell’
Mume wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Simi, #AdekunleGold amefunguka kuwa na ugonjwa wa Sickle Cell ambapo ameweka wazi kuwa umekuwa ukimsumbua kwa muda mrefu. Tovuti ya ...
18
Ja Rule awakosoa wanaume wanaovaa jeans za kuchanika
‘Rapa’ kutoka Marekani, #JaRule amewakosoa wanaume wanaopendelea kuvaa jeans zilizochanika huku akidai kuwa ni mtindo wa zamani. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Mail...
05
Madonna ajibu kesi ya kuchelewa kwenye matamasha yake
Mwanamuziki wa Marekani Madonna amejibu kesi iliyokuwa ikimkabili ya kuchelewa kuanza kwa matamasha yake.Kwa mujibu wa nyaraka kutoka Mahakamani zilizochapishwa na Tmz Madonna...
03
Fahamu sababu keyboard kuchanganya herufi
Kwa kawaida kicharazio maarufu ‘keyboard’ za simu janja ama kompyuta huwa na mpangilio usiofuata mtiririko, yaani haianzii A-Z badala yake herufi zimechanganyika.K...

Latest Post