31
Aziz Ki mchezaji bora oktoba, Yanga
Baada ya ‘Klabu’ ya Yanga kuanzisha Tuzo za mchezaji bora wa mwezi, hatimaye ‘Klabu’ hiyo imemtangaza mchezaji Aziz Ki kuwa ndiye mchezaji bora wa mwez...
30
Ahmed Ally: Mpinzani aliye baki ni Yanga
Msemaji wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly amedai kuwa mpinzani wao aliye baki ni watani wao #Yanga ambaye wanashauku ya kumfunga. Akizungumza na waandishi wa habari...
24
‘Mastaa’ Yanga wampa Feitoto maua yake
Wachezaji kutoka ‘klabu’ ya #Yanga wamempa maua yake fundi wa mpira #Feitoto kutokana na kiwango alichokionesha jana katika mchezo wa ‘ligi’ kuu licha ...
20
Mashabiki wamchangia Ally Kamwe million 1
Ni masaa machache tangu ‘bodi’ ya ‘Ligi’ Tanzania kumpiga ‘faini’ ya million 1,  Afisa wa habari wa ‘klabu’ ya Yanga, Ally...
09
Yanga kutoa zawadi ya mchezaji bora kila mwezi
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari, Rais wa ‘klabu’ ya #YangaSC, Eng Hersi Said ameshukuru shirika la #NIC kwa kuamini na kuchagua kufanya kazi na ‘kla...
24
Kilicho mkuta Lomalisa uwanjani
Inadaiwa kuwa 'beki' wa kushoto wa ‘klabu’ ya Yanga, Joyce Lomalisa atakuwa nje ya uwanja kwa kati ya siku tano hadi saba akiuguza jeraha alilopata baada ya kuchez...
01
Manara azimika na ufanyaji mazoezi wa Kajala
Aliyewahi kuwa msemaji wa ‘klabu’ ya Yanga #HajiManara amemmwagia sifa ‘staa’ wa #BongoMovie Kajala kwa jitihada za kufanya mazoezi na kujali afya yake...
21
Mayele kuishuhudia siku ya wananchi
Mfungaji bora msimu uliopita katika ligi kuu Tanzania Fiston Mayele, ambae tetesi zinaeleza kuwa mchezaji huyo anasubiria tu ‘Thank you’ kutoka katika ‘klabu...
08
Fei Toto: Pesa mlizo changa kwenda CAS zitaenda kwa watoto yatima
Baada ya kusaini mkataba wa kuitumia Azam FC, Feisal Salum amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumaliza sakata lake la kuvunja mkataba na klabu ya Yanga. Katika hatua za...
02
Nabi aweka wazi sababu Morrison kuanzia benchi
Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Nasreddine Nabi amevunja ukimya juu ya matumizi ya winga Bernard Morrison akisema Mghana huyo hana pumzi ya kutosha kucheza muda mrefu uwanjani. ...
15
Shabiki atangaza kumzawadia Mayele gari
Alooooooweeeh! Alooootenaah! Basi bwana kwa alichokifanya mzee wakutetema Fiston Kalala Mayele mchezaji wa yanga kuichapa Simba bao mbili katika siku ya ngao ya jamii, shabiki...

Latest Post