21
Burna Boy kutoana jasho na ma-rapa wakubwa tuzo za BET Hip Hop
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Burna Boy anatarajia kutoana jasho na ma-rapa wakubwa kutoka Marekani katika tuzo za BET Hip Hop za mwaka 2024.Kupitia tuzo hizo zinazotarajia...
17
50 Cent: Lamar amestahili kupiga show Super Bowl
‘Rapa’ 50 Cent anadai kuwa msanii Kendrick Lamar, amestahili kuchaguliwa kuongoza show ya Super Bowl Halftime inayotarajiwa kufanyika Februari mwaka 2025 jijini Ne...
17
Sababu, Lil Wayne kutemwa Super Bowl Halftime 2025
Baada ya kuwepo kwa minong’ono kuhusiana na ‘rapa’ Lil Wayne kutochaguliwa kutumbuiza kwenye ‘Super Bowl Halftime’ mwakani mtayarishaji wa onesho...
14
Kendrick Lamar atajwa kuvunja rekodi ya Tupac
‘Rapa’ kutoka Marekani Kendrick Lamar ameripotiwa kuvunja rekodi ya marehemu msanii Tupac baada ya wimbo wake wa ‘Not Like Us’ kupata streams zaidi ya ...
30
Camila atamani Drake na Kendrick Lamar wamalize ugomvi
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #CamilaCabello ametamani #Drake na #KendrickLamar wamalize bifu lao ambapo amedai kuwa watu wamekuwa wakimsema vibaya Drake.Camila ameyasem...
22
Snoop Dogg: Kendrick Lamar wewe ni Mfalme
Mwanamuziki wa Marekani Snoop Dogg amempa ‘rapa’ Kendrick Lamar maua yake kwa kumtaja msanii huyo kuwa ni mfalme wa Magharibi.Kupitia video aliyopost Dogg kwenye i...
08
Wimbo wa Kendrick Lamar wazua kizaazaa
Shule ya ‘Vernon Center Middle School’ iliyopo jijini Manchester imekubali kulipa fidia ya dola 100,000 ikiwa ni zaidi ya Sh 263 milioni baada ya mwanafunzi wa shu...
07
Drake akubali kushindwa bifu lake na Lamar
Ikiwa umepita mwezi, bila mashabiki kusikia chochote kuhusiana na bifu la wasanii Drake na Kendrick Lamar, sasa inaonekana kama Drake amekubali kushindwa, baada ya kufuta maud...
30
Snoop Dogg awashukuru Lamar na Drake
Mwanamuziki na producer wa #Marekani Snoop Dogg amewashukuru wasanii wenzake Kendrick Lamar na Drake kwa kurudisha muziki kwenye mstari.Akiwa kwenye mahojiano yake na ‘E...
23
Aliyekuwa mkwe wa Bob Marley atunukiwa tuzo na Apple music
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani ambaye pia alikuwa mpenzi wa mtoto wa Bob Marley, Rohan Marley, Lauryn Hill ametunukiwa tuzo ya heshima na ‘Apple Music’ ...
15
Kendrick Lamar amejipata kwenye chati za Billboard
Wakati bifu la wanamuziki kutoka Marekani Drake na Kendrick Lamar likiwa limepowa kwa muda, ‘rapa’ Lamar anaendelea kukimbiza na kuonesha ubabe katika chati za Bil...
04
50 Cent aingilia kati bifu la Drake, Kendrick Lamar
Baada ya ‘rapa’ Kendrick Lamar kutoa ngoma kwa mpigo kwa ajili ya Drake, mwanamuziki huyo naye amejibu mashabulizi hayo kwa kutoa ngoma mpya siku ya jana iitwayo &...
03
Kendrick Lamar aendelea kutamba kwenye chati
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Kendrick Lamar ameendelea kuupiga mwingi kupitia ngoma yake ya ‘Euphoria’ aliyoiimba kwa ajili ya kumjibu Drake, ambapo i...
22
Bifu la Quavo na Chris Brown lapamba moto
Baada ya ‘rapa’ Quavo kumjibu mwanamuziki Chris Barown kupitia ngoma yake ya ‘Tender’ ambayo mashairi yake yanamtuhumu Brown kuwa alikuwa akimdhalilish...

Latest Post