Moja ya show ambayo imekuwa ikifanya vizuri kila mwaka ni na Show ya Halftime ya Super Bowl ambayo imeonesha ukubwa wake katika ufuatilia kwenye mitandao ya kijamii huku show ...
Moja ya staili ya ushangiliaji ambayo inakubalika zaidi huku ikiwavutia mashabiki wengi ni ambayo amekuwa akiitumia mchezaji wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cr...
Kwa miaka mingi, mfalme wa pop, Michael Jackson, amekuwa akihukumiwa kwa mabadiliko makubwa ya ngozi yake. Wengi wanadai kuwa alitaka kubadilisha rangi yake na kuwa mzungu.Lic...
Filmu iliyochezwa na marehemu mkali wa Hip Hop Marekani Tupac Shakur iitwayo ‘JUICE’ imetimiza miaka 33 ambapo ilitoka rasmi siku kama ya leo Januari 17 mwaka 1992...
Filamu inayoonesha na kuelezea maisha halisi ya mfalme wa Pop Duniani Michael Jackson ‘MJ’, imepangwa kuoneshwa rasmi kwa mara ya kwanza Oktoba 3, 2024 baada ya ku...
Mwanamitindo na mwigizaji kutoka Marekani Paris Jackson ambaye pia ni mtoto wa marehemu Michael Jackson ametangaza kuvishwa pete na mchumba wake wa muda mrefu Justin Long.Mape...
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
Mwigizaji mkongwe wa Bollywood Amitabh Bachchan amesema alitaka kuzimia baada ya kukuana kwa mara ya kwanza na marehemu Michael Jackson ‘MJ’.Amitabh ameyasema hayo...
Video fupi ya marehemu mwanamuziki Michael Jackson (MJ) kutoka Marekani iitwayo ‘Thriller’ imefikisha watazamaji (views) bilioni 1 katika mtandao wa YouTube.Filamu...
Kaka wa marehemu mfalme wa Pop Michael Jackson, aitwaye Tito Jackson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 70.Tito pia alikuwa mwanamuziki katika kundi la familia la The Jac...
Ikiwa leo ni Septemba 5 2024, Alhamisi ya 36 tangu kuanza kwa mwaka huku zikiwa zimebaki siku 117 kuumaliza mwaka.Upande wa TBT tunamuangazia mwanamuziki Michael Jackson, maar...
Afisa mkuu wa polisi Uganda, Jackson Mucunguzi, ameweka wazi kuwa Shakib Lutaaya anaweza kumfungulia kesi ya unyanyasaji wa kisaikolojia mke wake Zarinah Hassan ‘Zari&rs...
Mfalme wa Pop kutoka Marekani Michael Jackson ameripotiwa kuacha deni la dola 500 milioni ikiwa ni sawa na Sh 1.3 Trilioni Mahakama Kuu ya Kaunti ya Los Angeles imesema.Kwa mu...