18
Mtoto wa Mfalme Dubai amtaliki mumewe Instagram
Binti wa mtawala wa Dubai, Sheikha Mahra Bint Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, amempa talaka mumewe Sheikh Mana bin Mohammed bin Rashid bin Mana Al Maktoum kupitia mtandao wa I...
12
Hivi ndiyo viatu vyenye gharama zaidi duniani
Tumezoea kuona bei za kawaida wakati wa kwenda kununua viatu, huku baadhi ya watu wakijiwekea ukomo wa kiatu anachotaka kununua kisizidi bei Fulani. Sasa leo Mwananchi Scoop t...
19
Asake apiga mkwanja mrefu Dubai
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Asake, anadaiwa kulipwa Euro 500K ambazo ni zaidi ya tsh 1.37 bilioni kwa ajili ya kutumbuiza kwenye onesho la la muziki ‘Untold&rsquo...
17
Hizi hapa gari za polisi nchini Dubai
Kanali Mubarak Saeed, Mkuu wa Kitengo cha Doria cha Polisi wa Watalii nchini Dubai, amewakabidhi polisi nchini humo magari yenye kasi zaidi ambayo yatabeba watalii wanaoelekea...
28
Mlinzi wa msanii Trey jela mwaka mmoja
Bodyguard wa mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Trey Songz, Cornell Whitfield amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga shabiki nchini Dubai.Inae...
23
Umati wa watu wafurika kununua Iphone 15
Ikiwa jana ndiyo siku rasmi ambayo simu za Iphone 15 zilianza kuuzwa kwenye maduka mbalimbali maarufu duniani, umati wa watu wamejitokeza kwenye duka la ‘kampuni’ ...
02
Dubai yaondoa ushuru wa pombe
Dubai imeondoa ushuru wake wa asilimia 30 kwenye pombe ikiwa ni jitihada za kukuza utalii ambapo pia itaacha kulipisha pesa ya ada kwenye leseni binafsi ya pombe ambayo alitak...

Latest Post